Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Hapo nimekuelewa sana
Naona hapo umefunguka
Kweli kama wanataka kujitenga labda wasubiri ule Ufa utakaoigawa Africa baada ya miaka kadhaa ( sitanii) kuna mpasuko mkubwa sana

Lakini zaidi ya hapo muungano unachungwa sana na hawawezi kukubali wajitenge

Ni maamuzi yanayowezekana ila Bara sisi ni waoga sana kwa maamuzi maana hata dual citizenship tu inatushinda itakuwa kuachana kwa talaka?
Wanahisi kukandamizwa na kufanyiwa ukatili, na hayo yanajihidhihirisha haswa kwenye matukio ya kisiasa n.k, pia kuminywa katika uhuru wa maoni n.k, hivyo mindset yao imebaki kujua kwamba bara inataka kuwamaliza/kuwaangamiza ama kuwapoteza kabisa kwa nguvu na kujimilikisha.

Kwa vitendo hivyo inawapa uwezo wale wa Z'bar wenye nia ya kujitenga kwa kusambaza propaganda na kutolea mifano iliyotokea hivyo vijana wengi kuamini ndio hao wanapost hapo wakiwa wana hasira na kutoa matusi hovyo,
 
Inayonyonywa huku inatumia umeme uliotoka Tanganyika na Wana madeni mengi wamesamehewa na wanategemea vingi kutoka bara. Ingetakiwa mshukuru Tanganyika mumepata pakupumulia na hako ka visiwa vidogo kiasi mmoja akijamba aliye mwisho wa kisiwa anaskia. Na hivi mnazaa na kuwekeza kuoa mitala hyo population mngeiweka wapi?
Wacheni kulalamika shukuruni Tanganyika nyie
Sasa jiulize Tanganyika inapata nini kwenye huu muungano?
Wazanzibar wanasema Zanzibar inapoteza kikubwa mnoo kuliko kile kidogo inachokipata kupitia huu muungano. Zanzibar inapoteza tano huku akipata moja, sasa faida iko wapi?
 
😂 nimeishia kucheka tu

Akili za mtu mweusi ni hisia sana kuliko uhalisia, na zaid ni rahisi sana kuwatawala...

Daraja litajengwa na hakuna kitu watafanya.
 
... bibi zao walibakwa wakazaliwa waarabu koko halafu wanajisifia ujinga.
Kwa iyo haya ndio miarabu koko?
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
201305281438180184.jpg
 
Mbona hauelezei comoro ambayo ipo karibu na wewe una sema singapore na dubai

Bila Tanganyika mtakuwa kama comoro na visiwa vingine vinavyo jitawala. Hapo comoro tu hatuja ungana nao lakini Tanganyika ndo inalisha huko kila kitu, kwanini wasiwe kama dubai
Hao watu wahuko mnalingana kila kitu acheni ujinga kuweni na shukurna na bara ambayo inawalisha kila kitu

Kwani hivyo vyakula munawapelekea bure?
 
Ila Wazanzibar elimu ndogo sana. Ata kuandika tu shida.
 
Inayonyonywa huku inatumia umeme uliotoka Tanganyika na Wana madeni mengi wamesamehewa na wanategemea vingi kutoka bara. Ingetakiwa mshukuru Tanganyika mumepata pakupumulia na hako ka visiwa vidogo kiasi mmoja akijamba aliye mwisho wa kisiwa anaskia. Na hivi mnazaa na kuwekeza kuoa mitala hyo population mngeiweka wapi?
Wacheni kulalamika shukuruni Tanganyika nyie

Kwani huo umeme munawapa bure? Na kama kuna madeni hayo madeni munawadai Wale vibaraka wenu muliowaweka ambao kila baada ya miaka mitano munakwenda kuwapigania wabaki madarakani na ndio mana munakosa hata nguvu za kuwadai.
 
Iitishwe kura ya kuukubali au kuukataa muungano
Kama Scotland vile
Ila usishangae wakawa kama Scots waliopiga kura na wengi wakakataa kujitenga na [emoji636]

Ila labda hatuwezi kujua ila wangeweka hata kwa maoni tu tuone % ngapi wanataka kujitenga
 
Aisee...
Kama ule muungano wa kibabe wa USSR (yenye nukes, nk) ulisambaratika kama barafu juani itakuwa huu wa hila?!!! Siku yake itawadia tu
I hope so [emoji120]
Sioni shida hapo kwani watapunguza mzigo na wao watakuwa na mamlaka kamili
 
Back
Top Bottom