Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Ongeza sifuri mbili mbeleIla huo ujenzi mpaka uanze na kukamilika nadhani si chini ya miaka 5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza sifuri mbili mbeleIla huo ujenzi mpaka uanze na kukamilika nadhani si chini ya miaka 5.
Waulize mashekhe wako ruzuku wanazopewa na ubarozi furani hapa nchini Kwa ajili ya kusaport Hizo mambo kimya kimya,Sio kama utitiri ambazo hata Jiwe aliushtukia na kuanza kuwabana
Zitakuwa zimetoka vatikani na kusainiwa na Pope hizi hapa chiniStry za madrasa Hizo,
Nitaenda kumuuliza Pope Francis ameshaozesha wanandoa wangapi wa kiumeWaulize mashekhe wako ruzuku wanazopewa na ubarozi furani hapa nchini Kwa ajili ya kusaport Hizo mambo kimya kimya,
Vatican ndiyo iliyoanzisha huo uislam shekheZitakuwa zimetoka vatikani na kusainiwa na Pope hizi hapa chini
![]()
Pope Francis calls for end to anti-gay laws and LGBTQ+ welcome
LGBTQ+ advocates hail Pope’s rejection of sexual orientation as crime and call to bishops to resist anti-gay laws as ‘milestone’www.theguardian.com
Aliingia makka na viatuNitaenda kumuuliza Pope Francis ameshaozesha wanandoa wangapi wa kiume
UmeloaVatican ndiyo iliyoanzisha huo uislam shekhe
Umeloa tayariAliingia makka na viatu
Kwani si mvunje muunganoWazanzibari (Na waislam wengi) huwa hawana akili kabisa
Vunja kwan umeshililiwa?Kwani si mvunje muungano
Na akapokelewa kama mfalmeUmeloa tayari
Sio lazima ila wazanzibar ndiyo wanao ung'ang'aniaKwani muungano ni lazima?
Kama wazanzibar ni tatizo , vunjeni muungano kila watu wawe huruVunja kwan umeshililiwa?
Sio kweli wabara ndio wanakumbatia muungano , ndio maana mnatoa upendeleo mkubwa kwa Zanzibar kuliko wenyeweSio lazima ila wazanzibar ndiyo wanao ung'ang'ania
Nichangie tu , inafaa kuingia msikitini na viatu na inafaa pia kuswali na viatu hii kuvua viatu ni kwa sababu ya watu kuepusha kusafisha safisha kila mara , kipindi cha mtumw muhammad (swala na salamu ziwe juu yake ) waliswali na viatu vyao.Aliingia makka na viatu
Nimesema wapi kuwa wazanzibari ni Tatizo? Tangu lini mjinga akawa tatizo? Mjinga ni fursa.Kama wazanzibar ni tatizo , vunjeni muungano kila watu wawe huru