Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Sio kama utitiri ambazo hata Jiwe aliushtukia na kuanza kuwabana
Waulize mashekhe wako ruzuku wanazopewa na ubarozi furani hapa nchini Kwa ajili ya kusaport Hizo mambo kimya kimya,
 
Waulize mashekhe wako ruzuku wanazopewa na ubarozi furani hapa nchini Kwa ajili ya kusaport Hizo mambo kimya kimya,
Nitaenda kumuuliza Pope Francis ameshaozesha wanandoa wangapi wa kiume
 
Nikiwa kama muislam niseme tu wanatumia kisingizio cha dini ila hamna kitu hapo.
 
Aliingia makka na viatu
Nichangie tu , inafaa kuingia msikitini na viatu na inafaa pia kuswali na viatu hii kuvua viatu ni kwa sababu ya watu kuepusha kusafisha safisha kila mara , kipindi cha mtumw muhammad (swala na salamu ziwe juu yake ) waliswali na viatu vyao.
 
Back
Top Bottom