Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Kuna kitu hukijui kuhusu Zanzibar na wazanzibar, njoo Zanzibar uwasikie wenyewe ndio utailewa.

Chuki ni mbegu iliyopandikizwa na sio kitu rahisi kufutika vichwani mwa wazanzibar mpaka siku huu muungano utakapovunjika au kubadilika muundo wake.

Kwa kifupi sana, wazanzibar wengi wanaamini haya:
1. Muungano huu ni utumwa dhidi yao (kwanini? Muungano huu ulitengenezwa kwa ujanja ujanja, haraka haraka, kisirisiri na Zanzibar iliingizwa kinguvu, ndio uliwanyang'a uhuru wao wa kujitawala na kujiamulia mambo yao)

2. Muungano huu ulitengenezwa na kuundwa na watanganyika kwa maslahi ya watanganyika (Kwanini? Watanganyika (kupitia watawala wake) wao ndio wanautaka sana na kuupigania huu muungano kwa hali, mali na damu)

3. Muungano huu ndio umeua diplomasia, utamaduni, imani, bandari, biashara, kilimo na utalii wa Zanzibar. (Kwanini? Nchi zote zenye muundo wa jografia kama Zanzibar (kama Dubai, Singapore) ambazo zilikuwa sawa sawa na Zanzibar kwenye maeneo hayo miaka ya mwanzoni mwa miaka ya 1960s zote zimepiga hatua kubwa mnoo kwenye hayo maeneo, na hapo hapo Zanzibar imekuwa duni zaidi, na sababu kuu ikielezwa ni huu muungano)
Somo zuri sana hili
 
kwanza 70% Yao ni mashoga na wasagaji pumbavu sana.

daraja linajengwa watake wasitake na hawana la kufanya
 
Ila huo ujenzi mpaka uanze na kukamilika nadhani si chini ya miaka 5.

50 kabisa. Hilo daraja sio la Leo wala kesho. SGR na Nyerere hydroplant vimechukua miaka mingapo? Hili ni zaidi ya hizo projects.
 
Huko tanganyila Mwakiyembe sasa anasema idadi ya mashoga ni ya kutisha sana, mnapenda sn ujiti
Duh,kuhusu mashoga nadhani wewe kausha tuu.
Ukianza kulinganisha hiyo mambo aisee utaumbuka. Maana hata ukiulizwa nini kilitokea wakaungana ,hujui so kuwa mpole tuu.
Maana hiyo stone town khatari vijana na mabaharia wa zamani plus wazungu.
Kiufupi hii achana nayo utafukua mengi.
Muungano hauvunjiki na hautokaa uvunjike nitakufa nitauacha.
 
Hao vichwa pasi shida yao wanabagua sana ubaguzi ni asili yao
Pia wana mentality ya kupenda kupewa vitu bure bure hawataki kutumikia
Wanahisi wakitengwa wenyewe watakua last born wa waarabu
Ili kufaidika na muungano hakikisha unakula mbususu za kiunguja
 
Watoe maoni utazani wana hata pesa ya kujenga fryover ..mabwege kweli haya
 
Kitu ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa, Wazanzibar tunaona Zanzibar yetu kama Keki au dhahabu fulani hivi ya thamani kubwa huku tukiiona Tanganyika kama shamba fulani la bibi ambalo hata ngerede wanaingia kuvuna. Bahati mbaya sana watanganyika mnaona Tanganyika yenu kama Choo fulani hivi cha stendi ambapo nyinyi watanganyika ni wasafiri tu unaoingia kujisaidia na kusepa!

Watanganyika acheni kulalamika na kujipendekeza ovyo, nanyi kuweni na wivu na nchi yenu, hakuna mzanzibar anawataka watanganyika kwenda Zanzibar ili kufaidika na chochote.
Ila dada zenu wana lafudhi tamu , nafikiria kuchukua wawili both unguja na pemba 😋😋😋, na hakuna kitu MTANIFANYA
 
Nichangie tu , inafaa kuingia msikitini na viatu na inafaa pia kuswali na viatu hii kuvua viatu ni kwa sababu ya watu kuepusha kusafisha safisha kila mara , kipindi cha mtumw muhammad (swala na salamu ziwe juu yake ) waliswali na viatu vyao.

Mkuu hapa Zanzibar kuna mashoga mpaka wamasai kutoka bara.
Ni vigumu mnoo kuutenganisha ushoga na mazingira ya Zanzibar ya sasa kwa sababu kuu mbili, moja tamaduni za kishenzi za siku nyingi za Zanzibar (muarabu ni mshenzi kabisa) na sekta ya utalii (mzungu ni mpumbavu kabisa)
Kwa hiyo Zanzibar kuna ushenzi uliochanganyika na upumbavu changanya na dini iliyoletwa na majahazi ndiyo yamekuwa hovyo kabisa
 
Mkuu hapa Zanzibar kuna mashoga mpaka wamasai kutoka bara.
Ni vigumu mnoo kuutenganisha ushoga na mazingira ya Zanzibar ya sasa kwa sababu kuu mbili, moja tamaduni za kishenzi za siku nyingi za Zanzibar (muarabu ni mshenzi kabisa) na sekta ya utalii (mzungu ni mpumbavu kabisa)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenichekesha sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nimekaa Zanzibar, Pemba.
Nawajua hawa watu fika wanavyotufikiria.
Ni watu wa ajabu sana, tena sana
WaTanganyika wangewajua namna walivyo wabaguzi, hawawezi asilani kuwapa uongozi.
Zanzibar inatawaliwa na mtanganyika
 
Lijengwe Hilo daraja tulitumie kupelekea kitimoto
 
Back
Top Bottom