Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 2,069
- 3,516
Hawa watu ni wanachuki sijawahi kuona,,,yan hawa wanahusud waarabu tu, wanajikuta na wao waarabu haha ingekua huku ni nchi ya waarabu haya yasingetokea,,,,Siuvunjwe tu huo muungano wenyewe sion hata faida yake!!!!! Kuna mmoja kwenye bio yake kaandika I’m Arab from Africa (Zanzibar) picha sasa mweusi tii lmao