Walioulizwa kuhusu research naamini wanakwenda kuitumia kazini.Naona siku hizi hamna research. Yaani unamaliza tu paper ukitoka unaorganize mpango wa nauli siku hiyo hiyo ujirudie zako ulipotoka
Naona upo field mzee [emoji3]Hyo paper unavyoina labda kwa mtu mwenye uzoefu na amefanya practical sivyo Italian hao logistic and transport management sio maswali yote watajibu happ nusu tu hwataboi kuna vitu hapo vya field zaidi angalia swali la 5 ilo ni la clearing and forwarding pure.
Hapo mtu ajue kuanzia kuja na import permit /transport permit process zote za TPA mpaka kuja kupata gate pass yaani gate out na ajue izo shipment Kuna direct delivery Kuna condition zake sana sana ujue kuendana na yule gate operator uwe na baadhi ya documents za mzigo kama Delivery order kutoka shipping line taarifa za madereva wale na namba za magari mpaka chasis number zikitofautian gari halitoki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hapo clearing&forwarding agent ndo anasimamia show
Hapo mpaka uwe field la swali unapiga easy
Maswali yanaeleweka karibia yote sema unatakiwa ujue field ndo utaeleza vizuri mfano stowage plan hapo kuandaa space katika meli ili kupanga containers kuna vitu vya kujua mfano list of dangerous goods(DG) ili ujue unaziweka vip zisije kuleta madhara
Demmurage ni kama vile detention yaani kuzuiliwa Kwa meli na wale charter Kwa kushindwa kupakia au kushusha mzigo katika mda husika unakuta zinatolewa pale berth mpaka ije lipiwa dummurage charges
Walitengwa kiani akufukuzae hakwambii toka π€£π€£π€£jamaa kapost ni bora niendelee kupost biashara za udalali wa simu kuliko kwenda Dodoma kufany interviewNaona upo field mzee [emoji3]
Upo sahihi, point yangu ni kuwa mtihani haukua kipimo sahihi kwa watu wa courses zote.
Na upo sahihi pia mtu wa Transport and Logistics management angeweza kupata tabu na huo mtihani.
Mtu wa Procurement angeweza kujipapatua kidogo, kwani wanasoma pia Inventory Management & Warehousing
Lakini si kwa mtu makini wa Shipping,
Documents hitajika ili utoe gari au mzigo wanasoma kwenye customs procedures.
Stowage plans wanasoma kwenye inventory management & warehousing.
Clearing and forwarding ni module wanasoma, Demurrage etc etc etc
Watu wa Hr, Statistics, etc etc stood no chance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tema mate chini boss.Nimesomea manunuzi. Ila maswali yote haya najibu. Kuna nyuzi wanalalamika maswali yalikuwa magumu. Yaani haya ndio magumu?
Hivyo man [emoji3]Walitengwa kiani akufukuzae hakwambii toka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa kapost ni bora niendelee kupost biashara za udalali wa simu kuliko kwenda Dodoma kufany interview
You donβt deserve kuajiriwaPepa la leo la TPA
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship
ii) Dumerrage
iii) heavy lift service
2. Meanig of
i) Quay transfer
ii) storage operation
iii) ship operation
iv) delivery and receipt operation
3. Documents required in:
i) general cargo clearing,
ii) motor vehicle,
iii) Container terminal movement
iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan
b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
π€£You donβt deserve kuajiriwa
Sharing these kinds of info require approvals
Daaah! Hapo pagumu wajomba......Pepa la leo la TPA
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship
ii) Dumerrage
iii) heavy lift service
2. Meanig of
i) Quay transfer
ii) storage operation
iii) ship operation
iv) delivery and receipt operation
3. Documents required in:
i) general cargo clearing,
ii) motor vehicle,
iii) Container terminal movement
iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan
b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
Hahahaha daah! Ila wewe jamaaNimesomea manunuzi. Ila maswali yote haya najibu. Kuna nyuzi wanalalamika maswali yalikuwa magumu. Yaani haya ndio magumu?
Unaamini waliofanya hawakujiandaa?. Hata ujiandae vipi, huwezi cover kila kitu na siku zote mtihani ni mtihani tu.Kweli ilipazwa mtu kujindaa vzr sna
Duh acha nianze kupiga msuli
Kwa hio unashauri wafanye Nini?Unaamini waliofanya hawakujiandaa?. Hata ujiandae vipi, huwezi cover kila kitu na siku zote mtihani ni mtihani tu.
ππππLabda manunuzi ya mapumbuh.
Duuuh,basi kweli me kilazaNimesomea manunuzi. Ila maswali yote haya najibu. Kuna nyuzi wanalalamika maswali yalikuwa magumu. Yaani haya ndio magumu?
Tuache kulialia, tujiandae kwa uwezo wetu. Siku tukiona paper halipo upande wetu tukubali matokeo tu.Kwa hio unashauri wafanye Nini?
Kwahyo unaturingishia au na hicho kicheque namba ya 500,000 salary hapo bado take home.Hili paper ningegonga A A A A, sema tatizo nina Cheque namba tayari[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
mtu yeyote ambaye amefanya kazi kwenye clearing and forwarding company kwa umakini na amecheza na documents kwa muda mrefu hio paper ananyoosha mazima. Hasa wanaodili na mizigo ya local na transit yani ni kitonga sana hio paper watakuwa ndio watu pekee wanachekelea ushindi humo.Dah haikua haki kwa mliotoka courses za Procurement, Statistics etc etc
Paper ni pure Shipping.
Mtu makini wa Shipping and Logistics Management hiyo paper ilikua kitonga sana aisee. Mtu wa Transport and Logistics Management stood a chance pia.
Sent using Jamii Forums mobile app