jo5
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 894
- 1,381
Kila siku kutabiri majanga tu, Mambo mazuri huwa hawayatabiri, hao Ni wachawi.Hamjai tabiri mambo mazuri, tushawazoea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku kutabiri majanga tu, Mambo mazuri huwa hawayatabiri, hao Ni wachawi.Hamjai tabiri mambo mazuri, tushawazoea
Ndivvo uonavyo Mkubwa.Bullshit
Ukitaka kuhakiki nitakupa link ya yaliyosemwa yote katika mkesha huo kama ukikuta kuna kitu nimeongeza siyo tu post ifungiwe nipewe adhabu kali zaidi hata ban, napenda sana kuandika ninachokiamini MkuuHAYA NDO YALEE YA TumainiEl hii original post ilikuwa na vitu 8(sasa zaidi ya 11), mnafanya kuedit kuongeza matukio yanayotokea (huu ni upotoshaji wala sii utabiri )... UhUni wa kitoto!!
admin Maxence Melo post za namna hii ziwe zinakuwa locked kuedit au kuwe na provision ya kuonyesha edit time stamp