Baadhi ya matukio yatakayotokea mwaka huu 2024

Baadhi ya matukio yatakayotokea mwaka huu 2024

Sawa ngoja tusubiri
Bado siyo mapema sana, na muda unatembea na kusudi lake.
Mungu aisaidie Japan, tayari Leo wameupokea mwaka na tetemeko lenye ukubwa wa 7.6 na limeipiga miji ya katikati.
 
How to survive 2024 in Tanzania [emoji1241]
1. Sitaki
2. Sina
3. Sitaweza
4. Sipo
5. Haiwezekani
6. Haipo
7. Imeisha

[emoji817][emoji817][emoji16]
 
Katika yote hayo litakalotimia ni hilo namba 5 pekee.
 
Katika yote hayo litakalotimia ni hilo namba 5 pekee.
Fuatilia Japan ndani ya saa moja likilopita ni nini kimetokea au angalia hapo juu nimeonesha, tuendelee kuhakikisha.
 
Sisi nyuzi kama hizi huwa tunazi-quote, halafu tunasubiri mwezi hadi mwezi...

1. Kutaibuka teknolojia itakayoweza kutafsiri mtoto mdogo akilia anahitaji kitu gani? Tahadhari ni kwamba teknolojia hii itafika Afrika na Tanzania kwa upekee, teknolojia hii itakuwa katika majaribio hivyo ni rahisi kuacha madhara makubwa ya kiakili kwa watoto.

2. Kutaibuka ugonjwa wa virusi mithili ya UVIKO-19 lakini virusi hivyo vitakuwa vinasababisha watu kusinzia mara Kwa mara.

3. Chama kinachoongoza Afrika ya kusini kitashinda katika kura za uchaguzi ujao ila kutakuwa na vurugu.

4. Kutakuwa na mapinduzi ya Kijeshi katika nchi ya Mali

5. Majanga makubwa kutokana na mabadiliko tabia nchi yataendelea kutokea Tanzania
(a) Kutakuwa na mvurugiko wa misimu utakaoathiri Kilimo cha mvua mfano katikati ya msimu wa mvua jua linaweza kuwa Kali au katikati ya msimu wa jua mvua kunyesha jambo ambalo ni tofauti na mazoea.

6. Kuna Mtumishi wa Mungu jina lake lina herufi "S" katikati ambaye amekuwa na tatizo la moyo kwa muda sasa na jambo hili limefanywa siri, mwa kahuu tumuombee sana.

7. Kutatokea ajali ya ndege ya Shirika linaloanza na herufi "E" katika Bahari ya Hindi

8. Mwaka huu kuna meli kubwa itaungua kwa moto na huo utakuwa mwanzo wa namba ya mnyama kuwa waziwazi Afrika na Tanzania kwa upekee.
9. Kutakuwa na matetemeko ya ardhi makubwa katika nchi ya Japan

10. Kuna msanii mkubwa anayejihusha na biashara ya dawa za kulevya, asipojirekebisha mwaka huu ataingia korokoroni.

Ikumbukwe Numerolojia yenyewe haizingatii utabiri wa majanga au matukio ya kina ya kihistoria. Inachunguza tu nambari na maana zao katika muktadha wa kibinafsi au kijamii. Kwa hivyo, haina uwezo wa kutabiri majanga au matukio maalum katika mwaka wowote.

Ili kuyasikia yote fuatilieni video note ya mkesha wa mwaka mpya, hapa nimeandika machache tu niliyoyakumbuka

Chanzo: Nabii Clear Malisa
 
1. Kutaibuka teknolojia itakayoweza kutafsiri mtoto mdogo akilia anahitaji kitu gani? Tahadhari ni kwamba teknolojia hii itafika Afrika na Tanzania kwa upekee, teknolojia hii itakuwa katika majaribio hivyo ni rahisi kuacha madhara makubwa ya kiakili kwa watoto.

2. Kutaibuka ugonjwa wa virusi mithili ya UVIKO-19 lakini virusi hivyo vitakuwa vinasababisha watu kusinzia mara Kwa mara.

3. Chama kinachoongoza Afrika ya kusini kitashinda katika kura za uchaguzi ujao ila kutakuwa na vurugu.

4. Kutakuwa na mapinduzi ya Kijeshi katika nchi ya Mali

5. Majanga makubwa kutokana na mabadiliko tabia nchi yataendelea kutokea Tanzania
(a) Kutakuwa na mvurugiko wa misimu utakaoathiri Kilimo cha mvua mfano katikati ya msimu wa mvua jua linaweza kuwa Kali au katikati ya msimu wa jua mvua kunyesha jambo ambalo ni tofauti na mazoea.

6. Kuna Mtumishi wa Mungu jina lake lina herufi "S" katikati ambaye amekuwa na tatizo la moyo kwa muda sasa na jambo hili limefanywa siri, mwa kahuu tumuombee sana.

7. Kutatokea ajali ya ndege ya Shirika linaloanza na herufi "E" katika Bahari ya Hindi

8. Mwaka huu kuna meli kubwa itaungua kwa moto na huo utakuwa mwanzo wa namba ya mnyama kuwa waziwazi Afrika na Tanzania kwa upekee.
9. Kutakuwa na matetemeko ya ardhi makubwa katika nchi ya Japan

10. Kuna msanii mkubwa anayejihusha na biashara ya dawa za kulevya, asipojirekebisha mwaka huu ataingia korokoroni.

Ikumbukwe Numerolojia yenyewe haizingatii utabiri wa majanga au matukio ya kina ya kihistoria. Inachunguza tu nambari na maana zao katika muktadha wa kibinafsi au kijamii. Kwa hivyo, haina uwezo wa kutabiri majanga au matukio maalum katika mwaka wowote.

Ili kuyasikia yote fuatilieni video note ya mkesha wa mwaka mpya, hapa nimeandika machache tu niliyoyakumbuka

Chanzo: Nabii Clear Malisa

View: https://youtu.be/EZJT6oe2980?si=IYdQIHQ5gK9btQyu
 
1. Kutaibuka teknolojia itakayoweza kutafsiri mtoto mdogo akilia anahitaji kitu gani? Tahadhari ni kwamba teknolojia hii itafika Afrika na Tanzania kwa upekee, teknolojia hii itakuwa katika majaribio hivyo ni rahisi kuacha madhara makubwa ya kiakili kwa watoto.

2. Kutaibuka ugonjwa wa virusi mithili ya UVIKO-19 lakini virusi hivyo vitakuwa vinasababisha watu kusinzia mara Kwa mara.

3. Chama kinachoongoza Afrika ya kusini kitashinda katika kura za uchaguzi ujao ila kutakuwa na vurugu.

4. Kutakuwa na mapinduzi ya Kijeshi katika nchi ya Mali

5. Majanga makubwa kutokana na mabadiliko tabia nchi yataendelea kutokea Tanzania
(a) Kutakuwa na mvurugiko wa misimu utakaoathiri Kilimo cha mvua mfano katikati ya msimu wa mvua jua linaweza kuwa Kali au katikati ya msimu wa jua mvua kunyesha jambo ambalo ni tofauti na mazoea.

6. Kuna Mtumishi wa Mungu jina lake lina herufi "S" katikati ambaye amekuwa na tatizo la moyo kwa muda sasa na jambo hili limefanywa siri, mwa kahuu tumuombee sana.

7. Kutatokea ajali ya ndege ya Shirika linaloanza na herufi "E" katika Bahari ya Hindi

8. Mwaka huu kuna meli kubwa itaungua kwa moto na huo utakuwa mwanzo wa namba ya mnyama kuwa waziwazi Afrika na Tanzania kwa upekee.
9. Kutakuwa na matetemeko ya ardhi makubwa katika nchi ya Japan

10. Kuna msanii mkubwa anayejihusha na biashara ya dawa za kulevya, asipojirekebisha mwaka huu ataingia korokoroni.

Ikumbukwe Numerolojia yenyewe haizingatii utabiri wa majanga au matukio ya kina ya kihistoria. Inachunguza tu nambari na maana zao katika muktadha wa kibinafsi au kijamii. Kwa hivyo, haina uwezo wa kutabiri majanga au matukio maalum katika mwaka wowote.

Ili kuyasikia yote fuatilieni video note ya mkesha wa mwaka mpya, hapa nimeandika machache tu niliyoyakumbuka

Chanzo: Nabii Clear Malisa

View: https://youtu.be/EZJT6oe2980?si=IYdQIHQ5gK9btQyu
 
1. Kutaibuka teknolojia itakayoweza kutafsiri mtoto mdogo akilia anahitaji kitu gani? Tahadhari ni kwamba teknolojia hii itafika Afrika na Tanzania kwa upekee, teknolojia hii itakuwa katika majaribio hivyo ni rahisi kuacha madhara makubwa ya kiakili kwa watoto.

2. Kutaibuka ugonjwa wa virusi mithili ya UVIKO-19 lakini virusi hivyo vitakuwa vinasababisha watu kusinzia mara Kwa mara.

3. Chama kinachoongoza Afrika ya kusini kitashinda katika kura za uchaguzi ujao ila kutakuwa na vurugu.

4. Kutakuwa na mapinduzi ya Kijeshi katika nchi ya Mali

5. Majanga makubwa kutokana na mabadiliko tabia nchi yataendelea kutokea Tanzania
(a) Kutakuwa na mvurugiko wa misimu utakaoathiri Kilimo cha mvua mfano katikati ya msimu wa mvua jua linaweza kuwa Kali au katikati ya msimu wa jua mvua kunyesha jambo ambalo ni tofauti na mazoea.

6. Kuna Mtumishi wa Mungu jina lake lina herufi "S" katikati ambaye amekuwa na tatizo la moyo kwa muda sasa na jambo hili limefanywa siri, mwa kahuu tumuombee sana.

7. Kutatokea ajali ya ndege ya Shirika linaloanza na herufi "E" katika Bahari ya Hindi

8. Mwaka huu kuna meli kubwa itaungua kwa moto na huo utakuwa mwanzo wa namba ya mnyama kuwa waziwazi Afrika na Tanzania kwa upekee.
9. Kutakuwa na matetemeko ya ardhi makubwa katika nchi ya Japan

10. Kuna msanii mkubwa anayejihusha na biashara ya dawa za kulevya, asipojirekebisha mwaka huu ataingia korokoroni.

Ikumbukwe Numerolojia yenyewe haizingatii utabiri wa majanga au matukio ya kina ya kihistoria. Inachunguza tu nambari na maana zao katika muktadha wa kibinafsi au kijamii. Kwa hivyo, haina uwezo wa kutabiri majanga au matukio maalum katika mwaka wowote.

Ili kuyasikia yote fuatilieni video note ya mkesha wa mwaka mpya, hapa nimeandika machache tu niliyoyakumbuka

Chanzo: Nabii Clear Malisa
Ajali Tayari Japan [emoji627]
 
Sema inaonekana Japan matetemeko ni jambo la kawaida, huwa yanatokea sanaa mpk raia wamezoea
 

Attachments

  • Screenshot_20240103-150304_Instagram.jpg
    Screenshot_20240103-150304_Instagram.jpg
    123.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom