Baadhi ya matukio yatakayotokea mwaka huu 2024

Baadhi ya matukio yatakayotokea mwaka huu 2024

Hizi tabiri ziwasaidieni ninyi na familia zenu.

Sometimes hazina maana yoyote, zipo kimtego sana kutabiri mambo ya hovyo ili likitokea jambo la kufanana mnafufua nyuzi zenu.
 
1. Kutaibuka teknolojia itakayoweza kutafsiri mtoto mdogo akilia anahitaji kitu gani? Tahadhari ni kwamba teknolojia hii itafika Afrika na Tanzania kwa upekee, teknolojia hii itakuwa katika majaribio hivyo ni rahisi kuacha madhara makubwa ya kiakili kwa watoto.

2. Kutaibuka ugonjwa wa virusi mithili ya UVIKO-19 lakini virusi hivyo vitakuwa vinasababisha watu kusinzia mara Kwa mara.

3. Chama kinachoongoza Afrika ya kusini kitashinda katika kura za uchaguzi ujao ila kutakuwa na vurugu.

4. Kutakuwa na mapinduzi ya Kijeshi katika nchi ya Mali

5. Majanga makubwa kutokana na mabadiliko tabia nchi yataendelea kutokea Tanzania
(a) Kutakuwa na mvurugiko wa misimu utakaoathiri Kilimo cha mvua mfano katikati ya msimu wa mvua jua linaweza kuwa Kali au katikati ya msimu wa jua mvua kunyesha jambo ambalo ni tofauti na mazoea.

6. Kuna Mtumishi wa Mungu jina lake lina herufi "S" katikati ambaye amekuwa na tatizo la moyo kwa muda sasa na jambo hili limefanywa siri, mwa kahuu tumuombee sana.

7.Kutatokea ajali ya ndege ya Shirika linaloanza na herufi "E" katika Bahari ya Hindi

8. Mwaka huu kuna meli kubwa itaungua kwa moto na huo utakuwa mwanzo wa namba ya mnyama kuwa waziwazi Afrika na Tanzania kwa upekee.

Chanzo: Nabii Clear Malisa
Nabii wa Machafuko. Hamna zuri lolote anaaloliona?
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo
 
1. Kutaibuka teknolojia itakayoweza kutafsiri mtoto mdogo akilia anahitaji kitu gani? Tahadhari ni kwamba teknolojia hii itafika Afrika na Tanzania kwa upekee, teknolojia hii itakuwa katika majaribio hivyo ni rahisi kuacha madhara makubwa ya kiakili kwa watoto.

2. Kutaibuka ugonjwa wa virusi mithili ya UVIKO-19 lakini virusi hivyo vitakuwa vinasababisha watu kusinzia mara Kwa mara.

3. Chama kinachoongoza Afrika ya kusini kitashinda katika kura za uchaguzi ujao ila kutakuwa na vurugu.

4. Kutakuwa na mapinduzi ya Kijeshi katika nchi ya Mali

5. Majanga makubwa kutokana na mabadiliko tabia nchi yataendelea kutokea Tanzania
(a) Kutakuwa na mvurugiko wa misimu utakaoathiri Kilimo cha mvua mfano katikati ya msimu wa mvua jua linaweza kuwa Kali au katikati ya msimu wa jua mvua kunyesha jambo ambalo ni tofauti na mazoea.

6. Kuna Mtumishi wa Mungu jina lake lina herufi "S" katikati ambaye amekuwa na tatizo la moyo kwa muda sasa na jambo hili limefanywa siri, mwa kahuu tumuombee sana.

7.Kutatokea ajali ya ndege ya Shirika linaloanza na herufi "E" katika Bahari ya Hindi

8. Mwaka huu kuna meli kubwa itaungua kwa moto na huo utakuwa mwanzo wa namba ya mnyama kuwa waziwazi Afrika na Tanzania kwa upekee.

Chanzo: Nabii Clear Malisa
no1. naisubiria kwa hamu watoto wanalia sana huku mamba mpinji bila kujuwa wanataka nini..
 
Hizi tabiri ziwasaidieni ninyi na familia zenu.

Sometimes hazina maana yoyote, zipo kimtego sana kutabiri mambo ya hovyo ili likitokea jambo la kufanana mnafufua nyuzi zenu.
Mkuu soma taratibu mpaka mwisho
 
Kila mwaka mtu maarufu hufa duniani.
Hizi ni tabiri tarajiwa
Sasa mwaka huu kuna Watumishi wa Mungu wakubwa sana Duniani na walioifanya kazi yao vizuri watakufa...Ila watakuwa ni mbegu ya kuzaliwa Kwa uamsho mpya kwa wengi
 
Ktk medani ya burudani Mwaka 2024 kifo cha kwanza ni cha "mwanamuziki" mkubwa duniani ...alafu hao wana michezo wengine watafuata
Hili nalo tayari limenaswa
Yupo na Msanii maarufu sana Tanzania anayejihusisha na biashara ya dawa za kulevya, unabii unaonesha asipojirekebisha huu mwaka atafungwa.
 
Huwa nawashangaa watabiri weusi kwanini huwa tabiri zao zinalenga mambo mabaya mabaya tu yakuogofya.
Sijawahi sikia tabiri za Neema na Baraka

Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
Yakianza kutokea utauona weupe wake
IKIWA ROHO YA MUNGU WAKATI WA GIZA ILITULIA JUU YA VILINDI VYA MAJI NA KUFANYA MAMBO MAKUBWA YA KIUMBAJI SEMBUSE UTABIRI MWEUSI?
 
Hili nalo tayari limenaswa
Yupo na Msanii maarufu sana Tanzania anayejihusisha na biashara ya dawa za kulevya, unabii unaonesha asipojirekebisha huu mwaka atafungwa.
Acha porojo za enzi za ujima,haya mambo sijui ya kujifanya kila mtu nabii ndio yanawachelewesha,ishi maisha ya uhalisia achana na hizo ndoto za alinacha.
 
Moderator hizi flashes zinafanya tusiweze kusoma kwa raha humu,inatosha ziondoeni,imekua kera sasa,
Inabidi mtu usubiri hizi flashes zipotee eneo unalosoma ndio uendelee kusoma.
 
Back
Top Bottom