Baadhi ya matukio yatakayotokea mwaka huu 2024

Baadhi ya matukio yatakayotokea mwaka huu 2024

Ishi peke yako kwenye huo ujima,acha kusambaza ujinga kwa wengine.
Unafahami ujinga Mkuu au kwa sababu upo hai mpaka muda huu unajiona mwamba sana badala ya kumshukuru Mungu.
" Ukiona huu ni ujinga wewe puuzia fanya unayoyaona nIya wajanja, Dunia siyo ya wajanja peke yao.
Asante.
 
Unafahami ujinga Mkuu au kwa sababu upo hai mpaka muda huu unajiona mwamba sana badala ya kumshukuru Mungu.
" Ukiona huu ni ujinga wewe puuzia fanya unayoyaona nIya wajanja, Dunia siyo ya wajanja peke yao.
Asante.
Lazima tukilinde hiki kizazi na wapotoshaji,Dunia inaishi kwenye uhalisia,mambo ya utabiri na kusubiri miujiza ni vitu vilivyopitwa na wakati.
 
Lazima tukilinde hiki kizazi na wapotoshaji,Dunia inaishi kwenye uhalisia,mambo ya utabiri na kusubiri miujiza ni vitu vilivyopitwa na wakati.
From the time immemorial, watu wamekuwa wakipewa hadhari kwa lengo la kuchukua hatua za hadhari " proactive measures" na haukuwahi kuitwa upotoshaji. Ila kama huu ni upotoshaji muda utasema, sidhani kama una majibu sahihi kuliko muda.
 
From the time immemorial, watu wamekuwa wakipewa hadhari kwa lengo la kuchukua hatua za hadhari " proactive measures" na haukuwahi kuitwa upotoshaji. Ila kama huu ni upotoshaji muda utasema, sidhani kama una majibu sahihi kuliko muda.
Wewe hapa umetoa hadhari ipi na umeshauri hatua zipi za hadhari zichukuliwe?
Acheni kuturudisha kwenye era za stone age.
 
Wewe hapa umetoa hadhari ipi na umeshauri hatua zipi za hadhari zichukuliwe?
Acheni kuturudisha kwenye era za stone age.
Mkuu Mimi siyo nabii soma post vizuri
Ukweli ni kwamba napenda kujifunza na kufuatilia Kwa kina ila siyo kubeza.
 
Mali hii ambayo Mrusi kaikalia na mchina??.

Atasubiri sana.


1 ,sio utabir ni jambo lishajadiliwa na wanasayansi mbalimbali ili kuwasaidia wazazi

2-uongo mtupu anapitia kwenye Uviko.

Chama Tawala ni lazima kishinde, ni sawa na kusema 2025, CCM itashinda.


Mabadiliko ya hali ya hewa, ni mother nature, Dunia imeharibiwa na mwanadam.




Hivi Hawa manabiii uchwara, Et nao Wana wafuasi mamaee.

Hawa ni watakatishaji Pesa na biashara za madawa.
 
Acha porojo za enzi za ujima,haya mambo sijui ya kujifanya kila mtu nabii ndio yanawachelewesha,ishi maisha ya uhalisia achana na hizo ndoto za alinacha.

Severe natural disasters: 2024 predictions by modern Nostradamus​

Death and devastation on a global scale - the "modern Nostradamus" predicts a series of natural disasters that will begin in 2024 and continue throughout the year. What about Israel? ( The Jerusalem Post: By WALLA!NOVEMBER 29, 2023 14:35​

Pitia hiyo halafu uje
 
Mali hii ambayo Mrusi kaikalia na mchina??.

Atasubiri sana.


1 ,sio utabir ni jambo lishajadiliwa na wanasayansi mbalimbali ili kuwasaidia wazazi

2-uongo mtupu anapitia kwenye Uviko.

Chama Tawala ni lazima kishinde, ni sawa na kusema 2025, CCM itashinda.


Mabadiliko ya hali ya hewa, ni mother nature, Dunia imeharibiwa na mwanadam.




Hivi Hawa manabiii uchwara, Et nao Wana wafuasi mamaee.

Hawa ni watakatishaji Pesa na biashara za madawa.
Mkuu kukataa kila jambo siyo njia ya kuelewa au kuyalinda unayoyaelewa, hata Mimi nina mashaka kama binadamu wengine ila sufungi milango ya kujifunza kwa yeyote au chochote. Najifunza kwa wema, wabaya, Mungu, Shetani n.k
 
umesahau kitu kimoja, Iran itapigwa,na mfumuko wa bei utakuwa mkubwa kwasababu uzalishaji mafuta utashuka kutokana na vita hiyo. jiandaeni kwa maisha magumu.
 
Teknolojia ya kutafsiri kulia kwa Watoto iliundwa katika Hospitali ya Taifa ya Taiwan Yunlin na inaweza kutofautisha kati ya sauti nne tofauti za kulia kwa kurekodi sauti za watoto wachanga na kuzilinganisha na kwenye database kubwa.

Katika kipindi cha miaka miwili, watafiti walikusanya sauti karibu 200,000 za watoto wachanga takriban 100, na kuziweka kwenye database ya mtandaoni. Uchambuzi wa marudio ya mlio wa mtu binafsi kati ya hizi ulisaidia watafiti, wakiongozwa na Chang Chuan-yu na Dk Chen Si-da, kutofautisha tofauti ndogo katika sauti.

App iliyotokana inaonyesha uchambuzi wa kilio cha mtoto kwenye simu ya mtumiaji ndani ya sekunde 15. Watafiti wanasema app ina usahihi wa asilimia 92 kwa watoto chini ya wiki mbili, ikisaidia wazazi kujua wakati mtoto wao ana njaa, usingizi, maumivu, au nepi imejaa. Uchambuzi unakuwa hauna usahihi kadri mtoto anavyozeeka.

"Mtafsiri wa Kulia wa Watoto unaweza kutofautisha hali nne tofauti za sauti za mtoto anayelia, ikiwa ni pamoja na njaa, nepi kuwa imejaa, usingizi, na maumivu," alisema Chuan-yu. "Hadithi kutoka kwa watumiaji hadi sasa, usahihi wa app tuliojaribu unaweza kufikia asilimia 92 kwa watoto chini ya wiki mbili. Kwa watoto chini ya mwezi mmoja au miwili, usahihi wa app unaweza kufikia hadi asilimia 84 au 85. Hata kwa mtoto wa miezi minne, usahihi unaweza kufikia asilimia 77."
.........................
Teknolojia hii haijaingia bado Tanzania ila mwaka 2024 itafika
 
Back
Top Bottom