Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Maana ya kustaafu ni kupumzika baada ya kufanya kazi kwa miaka yako 60 na kuchoka kimwili na akili. Sitarajii eti mtu anasaafu halafu aendelee na kufuga ua kulima au kufanya biashara. Ukistaafu unatakiwa kupumzika warume! kwa maana hiyo jiwekee sasa vituo vya kukusanya pesa ukishastaafu. Tunataka tumuone mstaafu anaamka asubuhi, anapiga mazoezi yake ya kutembea tartiiiibu, akirudi home anaoga, anapiga breakfast health anapumzika chini ya kamwembe hapo nje na baadae anatoka kwenda kukusanya maokoto mdogo mdogo na kupiga umbea kidogo na majirani.... jioni anaingia kanisani au msikitini anamshukuru Mungu wake anarudi kulalala..... wekend anapanda SGR anaenda kusalimia wajukuu. huku ndio kustaafu
 
Maana ya kustaafu ni kupumzika baada ya kufanya kazi kwa miaka yako 60 na kuchoka kimwili na akili. Sitarajii eti mtu anasaafu halafu aendelee na kufuga ua kulima au kufanya biashara. Ukistaafu unatakiwa kupumzika warume! kwa maana hiyo jiwekee sasa vituo vya kukusanya pesa ukishastaafu. Tunataka tumuone mstaafu anaamka asubuhi, anapiga mazoezi yake ya kutembea tartiiiibu, akirudi home anaoga, anapiga breakfast health anapumzika chini ya kamwembe hapo nje na baadae anatoka kwenda kukusanya maokoto mdogo mdogo na kupiga umbea kidogo na majirani.... jioni anaingia kanisani au msikitini anamshukuru Mungu wake anarudi kulalala..... wekend anapanda SGR anaenda kusalimia wajukuu. huku ndio kustaafu
Lakini ni wastaafu wangapi wanafanya hayo??

Maisha mengi ya watumishi ni kama wanachokitafuta kinaishia kwenye kula, kusomesha, kulipia Kodi n.k

Kwahiyo wengi huwa na maisha duni sana baada ya kustaafu
 
hadi private?

sikujua aisee
Private Sina uhakika kama nao wanalipwa Kila Mwezi

Maana private workers wengi, hata Mikataba ya kazi unakuta hawana.

Wengine hata yale makato kwaajili ya mifuko ya hifadhi ya kijamii hawachangii

Kwahiyo wakistaafu ama kuachishwa kazi hupata changamoto kubwa sana za kuweza kusimama tena, maana hata backup ya akiba hawana 🙌
 
Hakika Mkuu, ila Uzee bila hela ni stress mno.

Maana katika Umri huo, unakuta watoto walishakuwa watu wazima, kwahiyo walishaondoka nyumbani

Halafu wakati huo, hauna hela hata za kusema uende mapumziko Zanzibar tu hapo
Kuwa mzee alafu ukawa na hela zako ni furaha na sherehe Sana moyoni maana utaishi utakavyo ila Sasa ukiwa uko broke ukawa unawategemea wanao ambao nao muda nwingine wanahitaji wakuendeshe mara njoo Dar ,alafu unaenda kushinda getini na wajukuu aisee inauma sana .

Ndiyo maana ushauri wako murua ati tuwekeze ikiwezekana hata kabla ya kustaafu ni kheri Sana maana unastaafu ukiwa unajua wapi unaenda kusimama instead ya ulikotokea kuliko ile unaamka unaanza kuangaliana na mabinti wa kazi ndiyo mwanzo wa fedhea za uzeeni
 
Mpaka watu wastaafu hapa december na mwakani uchaguzi litaibuka tena. Ilipozwa pozwa kwa kuongeza asilimia
Changamoto iliyopo ni watumishi kukosa msimamo na Umoja, wangekuwa wengine mbona saivi wangekuwa wamepelekewa asilimia ya Mkupuo hadi 100 ama 75/25
 
Kuwa mzee alafu ukawa na hela zako ni furaha na sherehe Sana moyoni maana utaishi utakavyo ila Sasa ukiwa uko broke ukawa unawategemea wanao ambao nao muda nwingine wanahitaji wakuendeshe mara njoo Dar ,alafu unaenda kushinda getini na wajukuu aisee inauma sana .

Ndiyo maana ushauri wako murua ati tuwekeze ikiwezekana hata kabla ya kustaafu ni kheri Sana maana unastaafu ukiwa unajua wapi unaenda kusimama instead ya ulikotokea kuliko ile unaamka unaanza kuangaliana na mabinti wa kazi ndiyo mwanzo wa fedhea za uzeeni
Sahihi kabisa

Vyema Wanaume tuamke na kujifunza Kwa wenzetu

Kuna wastaafu ukionana nao unashangaa kwamba huyo mtu enzi akiwa Kazini aliwahi kuhudumu kama Engineer ama Daktari

Lakini maisha anayoishi baada ya kustaafu unakataa kabisa, yaani ni duni hasa 🙌
 
Sahihi kabisa

Vyema Wanaume tuamke na kujifunza Kwa wenzetu

Kuna wastaafu ukionana nao unashangaa kwamba huyo mtu enzi akiwa Kazini aliwahi kuhudumu kama Engineer ama Daktari

Lakini maisha anayoishi baada ya kustaafu unakataa kabisa, yaani ni duni hasa 🙌
Ni umasikini wa kupindukia ila faraja ni vile viheshima vya mtaani mara dokta ,Mara engineer alafu ukiangalia mfukoni ni shagala labaga ,hivyo kujiwekeza hasa wanaume ni muhimu Sana ,malipo unayopewa na serikali lazima yasikidhi viwango vya maisha maana ulishakuwa na utaratibu mwingine wenye kutumia kingi na hakuna kutunza au kutunza kidogo ni hapo ili uweze kumaintain maisha ya kipindi ukiwa kazini na Sasa haupo kazini hakuna njia nzuri zaidi ya kujiwekeza kabla ya kustaafu ili kuendelea kuyamintain maisha
 
Ni umasikini wa kupindukia ila faraja ni vile viheshima vya mtaani mara dokta ,Mara engineer alafu ukiangalia mfukoni ni shagala labaga ,hivyo kujiwekeza hasa wanaume ni muhimu Sana ,malipo unayopewa na serikali lazima yasikidhi viwango vya maisha maana ulishakuwa na utaratibu mwingine wenye kutumia kingi na hakuna kutunza au kutunza kidogo ni hapo ili uweze kumaintain maisha ya kipindi ukiwa kazini na Sasa haupo kazini hakuna njia nzuri zaidi ya kujiwekeza kabla ya kustaafu ili kuendelea kuyamintain maisha
Hakika Mkuu


Nafikiri Kuna umuhimu wa Semina na mafunzo kutolewa Kwa Watumishi waliopo makazini ili waweze kujipanga juu ya hili, badala ya sasa Semina inatolewa Kwa Watumishi waliobakiza miezi 6/3 ama mmoja kustaafu 🙌

Kuna Bwana mmoja, aliwahi kuhudumu kama Mkuu wa Wilaya Kwa Vipindi kadhaa miaka ya nyuma, alipoingia JPM alimwondoa.

Yule Bwana, ana maisha duni mno kwasasa, utasema hakuwahi kuwa Mtumishi wa level ile kubwa

Nafikiri waliopo makazini, hawajachelewa.

Wanaweza kuanza kuwekeza kidogo kidogo sasa badala ya kusubiri fedha ya Kustaafu ndiyo waitumie kuwekeza.
 
Hakika Mkuu


Nafikiri Kuna umuhimu wa Semina na mafunzo kutolewa Kwa Watumishi waliopo makazini ili waweze kujipanga juu ya hili, badala ya sasa Semina inatolewa Kwa Watumishi waliobakiza miezi 6/3 ama mmoja kustaafu 🙌

Kuna Bwana mmoja, aliwahi kuhudumu kama Mkuu wa Wilaya Kwa Vipindi kadhaa miaka ya nyuma, alipoingia JPM alimwondoa.

Yule Bwana, ana maisha duni mno kwasasa, utasema hakuwahi kuwa Mtumishi wa level ile kubwa

Nafikiri waliopo makazini, hawajachelewa.

Wanaweza kuanza kuwekeza kidogo kidogo sasa badala ya kusubiri fedha ya Kustaafu ndiyo waitumie kuwekeza.
Semina elekezi kwa wastaafu tarajali ni kitu kinachotakiwa kwa udi na uvumba ila isiwe kuwa waitwe sehemu hapana hawaji Wala nini ,ila inabidi ziandaliwe semina chini ya ofisi zao ndiyo wapewe elimu ,semina ikiambatanisha wastaafu kadhaa walijiwekeza ili waweze kuwaeleza uhalisia wa mtaa na kipi wafanye kuepuka fedhea hapo badaye .

Nikimpenda Sana kamanda wa polisi mkoa wa mbeya ,siku moja jioni Sana nikamkuta na Askari vijana saana na Askari ambao umri ni wa jioni akawa anasema jamani hizi uniform ni nzuri Sana tukizivaa mtaani na pia ni heshima ila zinanuka laana ikiwa utamaliza muda wako hapa na kwenda kuishi maisha ya tabu na duni huko uraiani .

Akaendelea kuwaambia wale majunior kuwa kazi tufanye ila usisahau kesho hautavaa hii uniform na raia haqatakuheshimu kamaa leo hivyo tukumbuke kujiwekeza au kukitunza kidogo tunachovuna hapa maana bila hivyo dharau na kebehi watakuwa wageni wako kesho ,usipokuwa hapa .

Hakika yalikuwa maneno yenye amasa ,hali na uhamasishaji hasa kwa cheo chake kwa hao majunior nilipenda Yale maneno
 
Kuna mzee mmoja namjua sawa alikua amejenga vibanda baada ya kustaafu akajenga nyumba bora vyumba 3 na sebule.alikuja nikera sehemu moja alinunua kigari kidogo kina beteri kama ya boxer akapeta nacho miezi sita kikaanza usumbufu kama mchepuko aisee kitambi kilipukutika na hela alikua kamaliza.mpaka huruma alivyopauka now
 
Kuna mzee mmoja namjua sawa alikua amejenga vibanda baada ya kustaafu akajenga nyumba bora vyumba 3 na sebule.alikuja nikera sehemu moja alinunua kigari kidogo kina beteri kama ya boxer akapeta nacho miezi sita kikaanza usumbufu kama mchepuko aisee kitambi kilipukutika na hela alikua kamaliza.mpaka huruma alivyopauka now
Alikua primary ticha kama village mpwayungu
 
Semina elekezi kwa wastaafu tarajali ni kitu kinachotakiwa kwa udi na uvumba ila isiwe kuwa waitwe sehemu hapana hawaji Wala nini ,ila inabidi ziandaliwe semina chini ya ofisi zao ndiyo wapewe elimu ,semina ikiambatanisha wastaafu kadhaa walijiwekeza ili waweze kuwaeleza uhalisia wa mtaa na kipi wafanye kuepuka fedhea hapo badaye .

Nikimpenda Sana kamanda wa polisi mkoa wa mbeya ,siku moja jioni Sana nikamkuta na Askari vijana saana na Askari ambao umri ni wa jioni akawa anasema jamani hizi uniform ni nzuri Sana tukizivaa mtaani na pia ni heshima ila zinanuka laana ikiwa utamaliza muda wako hapa na kwenda kuishi maisha ya tabu na duni huko uraiani .

Akaendelea kuwaambia wale majunior kuwa kazi tufanye ila usisahau kesho hautavaa hii uniform na raia haqatakuheshimu kamaa leo hivyo tukumbuke kujiwekeza au kukitunza kidogo tunachovuna hapa maana bila hivyo dharau na kebehi watakuwa wageni wako kesho ,usipokuwa hapa .

Hakika yalikuwa maneno yenye amasa ,hali na uhamasishaji hasa kwa cheo chake kwa hao majunior nilipenda Yale maneno
Iwapo waajiri watafanya hayo uliyoyaeleza, hakika hakutakuwa na Mstaafu atakaye ishi maisha Duni baada ya kustaafu.

Changamoto kubwa ya waajiriwa wengi ni kudhani, Bata anazokula sasa akiwa Kazini(hasa Maaskari Polisi - maana wengi hupata fedha nyingi Kwa Dhuruma zao) atakuja kula akistaafu.

Maisha ni kujiwekeza sasa

Wakati unastaafu unakuta hata biashara na miradi yako ilishasimama yenyewe kujiendesha.

Pension pamoja na ile Posho ya Kila Mwezi inakuwa ni ziada tu
 
  • Uwekezaji kupitia Usafirishaji; Iwe Uber/Bolt ama biashara ya kusafirisha mizigo ama parcels
Hapa,hii biashara ya usafirishaji kwa wazee ni kujitafutia shida tu unless iwe anaifanya akiwa anaijua si chini ya miaka mitatu lakini kama mgeni ghafla atie 70Mill zake humo mwaka hauishi tunamkosa.

Mimi huwa nafanya kazi za Bajaj,juzi tu mwezi wa tisa alinipigia dalali mmoja Tegeta kuna chuma no E inauzwa nilipoona picha sikupoteza muda mimi mbio kufika mule ndani mna pikipiki Boxer na TVs saba nikaambiwa Bajaj zilikuwa sita zimeondoka tano imebaki moja mpyaa,akaja mzee ananisisitiza “kijana wangu,naomba bei nitakayokupa usipunguze hata kidogo nionee huruma hasara isiwe kubwa”,bei anataka 8mill,Bajaj ina bima kubwa siyo chini ya Tsh 641,000/=,LATRA ameshalipa mapato TRA 120,000/= amelipa Bajaj mpya dukani currently 10,700,000/= so kwa haraka haraka ilimkata siyo chini ya 3mill.

Usajili wake ilikuwa may mwaka huu so kama Bajaj zilikuwa sita atakuwa alipata hasara siyo chini ya 18mill ndani ya miezi minne sasa kwa hali hiyo kuna kupona mtu?lalamiko lake kubwa lilikuwa ni vijana hawaleti hela wakati ndiyo walimfata wakimuahidi hiyo kazi ina hela awape vitendea kazi.kuhusu bei nilimshusha kidogo akajaa sijui wenzangu walionitangulia nao walimuumiza vipi.
 
Umesema vitu vingi sana ambavyo wazee wengi hawawez fanya

Nawashauri wazee wenzangu ambao wameshajenga nyumba tayar

Kwanza unapopata hyo hela ya pension wape wanao kila mmoja walau hata 2mil

Biashara nyepesi ambazo mzee anaweza fanya kwenye haya mazingira yetu ya tz
1.kilimo na ufugaji
2.duka la hardware
3.mashine za nafaka
4.nyumba za kulala wageni au za kupangisha
5.maabara,dispensary na duka la dawa
 
Kuna mzee mmoja namjua sawa alikua amejenga vibanda baada ya kustaafu akajenga nyumba bora vyumba 3 na sebule.alikuja nikera sehemu moja alinunua kigari kidogo kina beteri kama ya boxer akapeta nacho miezi sita kikaanza usumbufu kama mchepuko aisee kitambi kilipukutika na hela alikua kamaliza.mpaka huruma alivyopauka now
Huyo Mzee alikosea hapo kwenye kununua gari used, kwanza inashauriwa usinunue gari used Tanzania ukiwa above 45, utakufa Kwa Presha
 
Iwapo waajiri watafanya hayo uliyoyaeleza, hakika hakutakuwa na Mstaafu atakaye ishi maisha Duni baada ya kustaafu.

Changamoto kubwa ya waajiriwa wengi ni kudhani, Bata anazokula sasa akiwa Kazini(hasa Maaskari Polisi - maana wengi hupata fedha nyingi Kwa Dhuruma zao) atakuja kula akistaafu.

Maisha ni kujiwekeza sasa

Wakati unastaafu unakuta hata biashara na miradi yako ilishasimama yenyewe kujiendesha.

Pension pamoja na ile Posho ya Kila Mwezi inakuwa ni ziada tu
Pesa ya kustaafia sio ya kufanyia maendeleo bali ni ya kufanyia maboresho zaidi kwa kile ulichokianzisha ksbla ya kustaafu na kikawa kunakuletea manufaa hivyo unaboresha ili upate manufaa zaidi
 
Back
Top Bottom