Ni kweli Mkuu, umri wa kufanya Uwekezaji ni sasa ukiwa Kazini.Pesa ya kustaafia sio ya kufanyia maendeleo bali ni ya kufanyia maboresho zaidi kwa kile ulichokianzisha ksbla ya kustaafu na kikawa kunakuletea manufaa hivyo unaboresha ili upate manufaa zaidi
Nakwambia alikua hajui hata kudrive akanunua gari ilikua ndogo bora hata passo.mafuta aweke spea sijui service alijuta alikuja uza kwa hasara mno mpaka leo kachoka yule mzee anasubili vikodi vya walimu aliowapangisha vyumba vitano ndo apate kulaHuyo Mzee alikosea hapo kwenye kununua gari used, kwanza inashauriwa usinunue gari used Tanzania ukiwa above 45, utakufa Kwa Presha
Huyo alifanya vizuri kukumbuka kuwekezaLazima tujiandae, ujana ni hatua nzuri ya kujipanga kiuchumi...namfahamu Mzee mmoja ni mwanajeshi mstaafu alikuwa anafanya kazi sehemu very sensitive kiusalama, anaishi maisha safi kabisa, Mzee alipambana miaka hiyo kitambo, alinunua maeneo kitambo sana ambapo maeneo hayo Leo hii Ili uyapate au upangishe lazima mfukoni kwako usiwe mtu wa kipato cha kati cha chini, kipato cha kati cha kati ndo wanaweza himili kulipa....
Hivyo maandalizi nadhani yatakiwa yaanze mapemaaa kabisa.
Pole yake aiseeNakwambia alikua hajui hata kudrive akanunua gari ilikua ndogo bora hata passo.mafuta aweke spea sijui service alijuta alikuja uza kwa hasara mno mpaka leo kachoka yule mzee anasubili vikodi vya walimu aliowapangisha vyumba vitano ndo apate kula
Ni kweli Biashara ya Usafirishaji ina changamoto nyingi, lakini ukisajiri kama Uber/Bolt walau ina nafuu.Hapa,hii biashara ya usafirishaji kwa wazee ni kujitafutia shida tu unless iwe anaifanya akiwa anaijua si chini ya miaka mitatu lakini kama mgeni ghafla atie 70Mill zake humo mwaka hauishi tunamkosa.
Mimi huwa nafanya kazi za Bajaj,juzi tu mwezi wa tisa alinipigia dalali mmoja Tegeta kuna chuma no E inauzwa nilipoona picha sikupoteza muda mimi mbio kufika mule ndani mna pikipiki Boxer na TVs saba nikaambiwa Bajaj zilikuwa sita zimeondoka tano imebaki moja mpyaa,akaja mzee ananisisitiza “kijana wangu,naomba bei nitakayokupa usipunguze hata kidogo nionee huruma hasara isiwe kubwa”,bei anataka 8mill,Bajaj ina bima kubwa siyo chini ya Tsh 641,000/=,LATRA ameshalipa mapato TRA 120,000/= amelipa Bajaj mpya dukani currently 10,700,000/= so kwa haraka haraka ilimkata siyo chini ya 3mill.
Usajili wake ilikuwa may mwaka huu so kama Bajaj zilikuwa sita atakuwa alipata hasara siyo chini ya 18mill ndani ya miezi minne sasa kwa hali hiyo kuna kupona mtu?lalamiko lake kubwa lilikuwa ni vijana hawaleti hela wakati ndiyo walimfata wakimuahidi hiyo kazi ina hela awape vitendea kazi.kuhusu bei nilimshusha kidogo akajaa sijui wenzangu walionitangulia nao walimuumiza vipi.
Tena mwanza chumba elfu 25000.ha ha ha haPole yake aisee
Kuishi Kwa Kodi ya Vyumba vitano tu, mbona changamoto, hapo labda unapata hela ya kula tu
Kabisa ni mwendo wa dagaa wa kavu na ugali wa dona maana hata hela ya kukobolesha mahindi hanaKama Kodi ya Chumba ni 25,000 x 5 ni wastani wa shilingi 125,000 Kwa Mwezi 🙌
Kweli hapo lazima Uzee wako uone hauna Thamani
Kabisa.tujifunze kuwekeza vyanzo vingi vya mapato.ndo maana bakhresa anauza mpaka mandazi unga na matakataka mengine kibao.iweje mwajiriwa utegemee mshahara ukikata ndo utafute chanzo kingime ni ujinga ujinga mtupuKwa msosi huo, huwezi kuwa na afya imara
Maana utakosa hata hela ya matunda hapo kwenye huo Mlo 🙌
Ni sahihi MkuuKabisa.tujifunze kuwekeza vyanzo vingi vya mapato.ndo maana bakhresa anauza mpaka mandazi unga na matakataka mengine kibao.iweje mwajiriwa utegemee mshahara ukikata ndo utafute chanzo kingime ni ujinga ujinga mtupu
Mkuu maisha ya Watanzania wengi ni duni kiuhalisiaUkiona kama taifa mtu anawaza kuwekea baada ya kustaafu (au uwepo wa umuhimu wa kufanya hivyo) fahamu kwamba kama taifa tumepotea njia na tupo kwenye RAT RACE..., na kama hayo uliyosema ni rahisi kuyafanya why wait mpaka ustaafu na usianze leo... Anyway kwa nchi kama yetu Waastafu (Pensioners are better off) what about hawa wabangaizaji wa leo ambao ni wazee wa kesho...
Ustawi wa Jamii: Tunajiandaa Vipi na Kuzuia Wimbi la Wazee Ombaomba wa Kesho ?
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...www.jamiiforums.com
Najua kusema ni rahisi sana ila elewa kuwa pension imetengenezwa na serikali na sio matakwa ya mtu na mtuMaana ya kustaafu ni kupumzika baada ya kufanya kazi kwa miaka yako 60 na kuchoka kimwili na akili. Sitarajii eti mtu anasaafu halafu aendelee na kufuga ua kulima au kufanya biashara. Ukistaafu unatakiwa kupumzika warume! kwa maana hiyo jiwekee sasa vituo vya kukusanya pesa ukishastaafu. Tunataka tumuone mstaafu anaamka asubuhi, anapiga mazoezi yake ya kutembea tartiiiibu, akirudi home anaoga, anapiga breakfast health anapumzika chini ya kamwembe hapo nje na baadae anatoka kwenda kukusanya maokoto mdogo mdogo na kupiga umbea kidogo na majirani.... jioni anaingia kanisani au msikitini anamshukuru Mungu wake anarudi kulalala..... wekend anapanda SGR anaenda kusalimia wajukuu. huku ndio kustaafu
Umeleweka mkuu na mimi nikimaanisha hicho.kunaa bwana mmoja ni mwalimu tena yuko kijijini.yule bwana kabla ya kustaafu alikua analima na kununua mashamba na maeneo na kujenga kastaafu miaka msaba iliyopita baba yule ana maisha mazuri mno miaka mitatu nilipata msiba wa dada yangu ndugu yule alikuja na usafiri mpya na gunia za mpunga kwa ajili ya kula waombolezaji wa msiba na ana familia kubwa kasomesha watoto wengine wanafanya kazi wameolewa na wameoa.kiufupi hana stress ana maeka ya mashamba na analimisha watu.ni mwl wa primary mstaafu kijij8ni kabsaNi sahihi Mkuu
Unakuta una miradi yangu miwili mitatu kusukuma maisha
Mradi wa kwanza unakupa return ya 35,000/day
Wa pili 50,000/day
Wa Tatu unakuletea hesabu ya 250,000/day
Hapo una uhakika wa kuvuna milioni 3 hivi Kwa Mwezi.
Ukiokota na kamposho Kako ka Mwezi shilingi 450,000 una kuwa na kama 3.5M hivi
Unaondokana na stress hivyo mapumziko yako ya Uzee yanakuwa poa kabisa
Ni mwendo wa kwenda kucheza Golf na Wazee mwenzio hapo Club Gymkhana
Umesema sahihi MkuuNajua kusema ni rahisi sana ila elewa kuwa pension imetengenezwa na serikali na sio matakwa ya mtu na mtu
Kustaafu sawa ila je utaweza kuranda randa kwa wajukuu kila leo?
Hata kama una hela lakini uzee na kukaa kula bata ni shida
Utapata maradhi ya kila aina bila kuwa na harakati yaani activities
Kama niwe na miaka 67 halafu nikae tu kwa kweli siwezi
Ntaacha kufanya kazi mpaka mwili ugome kwenda na likizo itakuwa sina ulazima maana nimeisha tembea sana dunia hii
Pension za huku nitalipwa kama 3m ya bongo kila mwezi
Lakini siwezi kulala tu kila siku lazima nifanye kitu hata kusimamia mijengo itakuwa idea nzuri ila kulala tu na kukaa chini ya mti hapana
Mawazo yatakusumbua sana ukiwa umekaa tu unahitaji kazi isiyo ngumu ila sio biashara za duka au kukimbizana na mifugo
Kina fanya kazi taasis nyingne ila sio jwtz, waligoma na wanalipwa yote.Kikokotoo kipo, saivi kinasoma 33% Mkupuo halafu hiyo 67 itakuwa inatolewa kidogo kidogo Kila Mwezi 🙌
Hongera sana Kwa huyo Mstaafu mwenzetu kuweza kuwekeza mapemaUmeleweka mkuu na mimi nikimaanisha hicho.kunaa bwana mmoja ni mwalimu tena yuko kijijini.yule bwana kabla ya kustaafu alikua analima na kununua mashamba na maeneo na kujenga kastaafu miaka msaba iliyopita baba yule ana maisha mazuri mno miaka mitatu nilipata msiba wa dada yangu ndugu yule alikuja na usafiri mpya na gunia za mpunga kwa ajili ya kula waombolezaji wa msiba na ana familia kubwa kasomesha watoto wengine wanafanya kazi wameolewa na wameoa.kiufupi hana stress ana maeka ya mashamba na analimisha watu.ni mwl wa primary mstaafu kijij8ni kabsa