Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Tunatoana Roho Yarabi kwa mali alizoacha Baba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana Mimi nawapenda sana mabinti zangu. Si uliona yule binti wa kabwe alivyomkatalia kumsalimia makonda.Nimeona video inatrend ya ugomvi mkubwa wa nyumba ya urithi Kariakoo mtaa wa Manyema.
Nyumba hiyo ya ghorofa 5 ilijengwa na mzee anaeitwa Mohammed Alidina ambae alifariki miaka kazaa iliyopita.
Mzee huyo wakati akiwa hai alitoa sehemu ya nyumba hiyo. Floor ya juu itumike kama madrassa na kufanya taratibu za kukabidhi kwa msikiti ambazo waislamu wanaziita waqfu. Ghorofa zilizobaki aliendelea kuzitumia kuishi na zingine kupangisha appartments na fremu kwa wafanyabiashara Kariakoo.
Baada ya huyo mzee kufariki aliacha watoto 11, ambao watoto wao waligawana hizo appartments na fremu na kuendelea na maisha.
Mbeleni watoto wachache wa kiume wa marehemu mzee huyo wakapendekeza wazo la kutaka nyumba hiyo iuzwe kila mtu akajenge kwake. watoto wengine wakapinga kwamba hawataki nyumba iuzwe maana baba yao enzi za uhai alisema nyumba isiuzwe na akatoa sehemu ya nyumba iwe madrassa inayomilikiwa na waislamu wote. sasa watauzaje nyumba yenye wakfu ambayo ni mali ya waislamu wote.
Watoto wenye wazo la kuuza wakaona hapa kuuza ngumu. wakaamua kwenda kumshirikisha imamu wa msikiti ambao ulipewa wakfu sehemu ya nyumba hiyo. maana msikiti ulikuwa na documents za wakfu walizopewa na marehemu baba yao.
Kimya kimya wakashirikiana na imamu wa msikiti uliopewa hizo documents. wakatafuta mteja Mkinga mmoja wakamuuzia nyumba bila watoto wengine kujua.
Mbeleni mkinga huyo ambae ni mnunuzi aliyonunua hiyo nyumba akaenda kuchukua mali yake. Ndipo watoto wengine wakagundua nyumba imeuzwa. Ndipo ugomvi mkubwa ukaibuka na mapanga juu.
View attachment 2928225
Huyu dada inaonekana alitaka kuliuza pekee yake hilo ghorofa au kumkabidhisha mme wake kufaidi yeye na watoto wake kumbe ndugu wakashtuka mapema tuuze kila mtu afe na chake maana watu watakufa je ghorofa wajukuu watahusishwa kurithi mali hiyo akili kumkichwa!!Nipo Kariakoo, anaesimamia hiyo nyumba ni dd yao. Ishu ni kua anawapiga ndugu zake. Mfano frem ni 1,000,000 anawaambia wenzake kodi ni 600,000. Hiyo ndo shida
Nyumba aiuzwi kama mayai bana yani nyumba ya urithi iuzwe kienyeji weNimeona video inatrend ya ugomvi mkubwa wa nyumba ya urithi Kariakoo mtaa wa Manyema.
Nyumba hiyo ya ghorofa 5 ilijengwa na mzee anaeitwa Mohammed Alidina ambae alifariki miaka kazaa iliyopita.
Mzee huyo wakati akiwa hai alitoa sehemu ya nyumba hiyo. Floor ya juu itumike kama madrassa na kufanya taratibu za kukabidhi kwa msikiti ambazo waislamu wanaziita waqfu. Ghorofa zilizobaki aliendelea kuzitumia kuishi na zingine kupangisha appartments na fremu kwa wafanyabiashara Kariakoo.
Baada ya huyo mzee kufariki aliacha watoto 11, ambao watoto wao waligawana hizo appartments na fremu na kuendelea na maisha.
Mbeleni watoto wachache wa kiume wa marehemu mzee huyo wakapendekeza wazo la kutaka nyumba hiyo iuzwe kila mtu akajenge kwake. watoto wengine wakapinga kwamba hawataki nyumba iuzwe maana baba yao enzi za uhai alisema nyumba isiuzwe na akatoa sehemu ya nyumba iwe madrassa inayomilikiwa na waislamu wote. sasa watauzaje nyumba yenye wakfu ambayo ni mali ya waislamu wote.
Watoto wenye wazo la kuuza wakaona hapa kuuza ngumu. wakaamua kwenda kumshirikisha imamu wa msikiti ambao ulipewa wakfu sehemu ya nyumba hiyo. maana msikiti ulikuwa na documents za wakfu walizopewa na marehemu baba yao.
Kimya kimya wakashirikiana na imamu wa msikiti uliopewa hizo documents. wakatafuta mteja Mkinga mmoja wakamuuzia nyumba bila watoto wengine kujua.
Mbeleni mkinga huyo ambae ni mnunuzi aliyonunua hiyo nyumba akaenda kuchukua mali yake. Ndipo watoto wengine wakagundua nyumba imeuzwa. Ndipo ugomvi mkubwa ukaibuka na mapanga juu.
View attachment 2928225
Nyumba aiuzwi kama mayai bana yani nyumba ya urithi iuzwe kienyeji we
Sio mkristo kasema huwa anasali hapo muislamu huyoMimi ni MKRISTU, ila nimempenda huyo dada bure. Ana msimamo na kuheshimu viapo vya mzazi wake
Hebu fafanua hapa,ili wengi wapate faida.Huyo Mkinga imekula kwake. Mali za urithi ili ziuzike kisheria lazima lazima BENEFICIARIES CONSENT iandaliwe ili kila mnufaika atie sahihi yake. Hiyo inaandaliwa na wakili. Je waliuziana kimila au mbele ya wakili?
Wameuza bila hata kumpa mgao huyo dada yao?Nyumba imeuzwa kwa MKINGA
Akienda kusipokua na mtu mwingine mwenye msimamo km wake wataiuza,Mimi ni MKRISTU, ila nimempenda huyo dada bure. Ana msimamo na kuheshimu viapo vya mzazi wake
Hapa ndio tatizo linapoanzia?Nipo Kariakoo, anaesimamia hiyo nyumba ni dd yao. Ishu ni kua anawapiga ndugu zake. Mfano frem ni 1,000,000 anawaambia wenzake kodi ni 600,000. Hiyo ndo shida
Without consent of other beneficiaries haiuzwi hujaelewa nini lazima wote waridhiemsimamizi wa mirathi hana haki ya kuuza nyumba ?
Kwani mzazi alisema isiuzwe? Kwa nini wasitumie mahakama kupata ufafanuzi wa kisheria? Hii tabia ya baadhi ya wanandugu kuuza Mali halafu wanageukiana ili kumtapeli aliyenunua lazima wanasheria waliangalie vizuri.Akienda kusipokua na mtu mwingine mwenye msimamo km wake wataiuza,
Nyumba ya mirathi ina taratibu zake kuuza.Huwezi kuuza kitu cha watu wengi,kijanja janja.Huyo Sheikh,na huyo mnunuzi wakamatwe,ni wezi hao na ni matapeli,na kama yupo wakili,kahusika na huu utapeli,pia akamatwe.Huyu dada inaonekana alitaka kuliuza pekee yake hilo ghorofa au kumkabidhisha mme wake kufaidi yeye na watoto wake kumbe ndugu wakashtuka mapema tuuze kila mtu afe na chake maana watu watakufa je ghorofa wajukuu watahusishwa kurithi mali hiyo akili kumkichwa!!
Umeandika nini? Sijakuelewa klkinahusiana na nilichoandika au umemjibu mtu mwingine kwa bahati mbaya ikaja kwangu. Nimesema MIMI NI MKRISTU ILA NINAKUBALIANA NA MSIMAMO WA HUYU DADASio mkristo kasema huwa anasali hapo muislamu huyo
Na Wazir Jery Slaa alifika hapo! Mkinga anaulizwa una hati au documents yoyote?, hana, ohh nipo katika mchakato wa kubadilisha jina kwanza....Daah.Huyo Mkinga imekula kwake. Mali za urithi ili ziuzike kisheria lazima lazima BENEFICIARIES CONSENT iandaliwe ili kila mnufaika atie sahihi yake. Hiyo inaandaliwa na wakili. Je waliuziana kimila au mbele ya wakili?
Amekujibu kwa hisia hakusoma na kuelewa ulicho andika.Umeandika nini? Sijakuelewa klkinahusiana na nilichoandika au umemjibu mtu mwingine kwa bahati mbaya ikaja kwangu. Nimesema MIMI NI MKRISTU ILA NINAKUBALIANA NA MSIMAMO WA HUYU DADA
So Kasema kamalizia floor 4 yeyeNipo Kariakoo, anaesimamia hiyo nyumba ni dd yao. Ishu ni kua anawapiga ndugu zake. Mfano frem ni 1,000,000 anawaambia wenzake kodi ni 600,000. Hiyo ndo shida