Bb acha ubishi, mtaa wa manyema ni mtaa mfupi upo nyuma ya jengo la simba. Unakutana na mtaa wa mchikichi na upande mwingine mtaa wa mhonda. Sehem nmezungushia ni nyumba inayogombaniwaSijatazama video. Hawajui kama wewe.
Walirud mara ya 2 usiku jamaa alichezea mapanga shati chapa chapa sjui kama aliponaga hii issue ilitolea nadhani now inakama miez 3 kama syo miwili nyuma syo habari mpya
Mirathi ni ibada, ila watu wengi wanazani mwenye mali akifa,wao wanaweza fanya chochote kile wanachokitaka,ikiwemo na kudhulumu warithi halali mali za Marehemu! sasa utaratibu wa Mirathi usipofuatwa kisheria hapo ndiyo mtiti unapoanzia!!Nyumba ya mirathi ina taratibu zake kuuza.Huwezi kuuza kitu cha watu wengi,kijanja janja.Huyo Sheikh,na huyo mnunuzi wakamatwe,ni wezi hao na ni matapeli,na kama yupo wakili,kahusika na huu utapeli,pia akamatwe.
Wabongo bila mashart,hutoboi,yani kufanya biashara na wabongo unahitaji roho ya chumaKwa kod anazowapiga wenzie, kwenye frem za electronics na wauza saa. Huyo dd ana masharti Kinoma kwenye nyumba yake
1. Nyumba una ghorofa 5 huko juu kuna store wa awake hawaruhusiw kupanda bila kujifunika kuchwa
2. Ni mkubwa ila ukimsalimiia shkamooo mnakosana
3. Ukifunga frem usije siku hiyo bila kumwambia ni kosa
4. Sio ruhusa kufunga mapema
5. Huruhusiw kwenda kwenye frem ya mwenzako muongee
Yani masharti ni mengi
R.i.p kanjiNlishaenda nyumbani kwa kijana wke oysterbay beach house kununua gari...nlimfuata hapo victoria ofisini kwake
Hahah hakuna kusalimiana tenaKwa kod anazowapiga wenzie, kwenye frem za electronics na wauza saa. Huyo dd ana masharti Kinoma kwenye nyumba yake
1. Nyumba una ghorofa 5 huko juu kuna store wa awake hawaruhusiw kupanda bila kujifunika kuchwa
2. Ni mkubwa ila ukimsalimiia shkamooo mnakosana
3. Ukifunga frem usije siku hiyo bila kumwambia ni kosa
4. Sio ruhusa kufunga mapema
5. Huruhusiw kwenda kwenye frem ya mwenzako muongee
Yani masharti ni mengi
Mabaunsa si wanaendaga kama nyumbu 😄Jamani nimecheka hadi MBAVU zinauma 😂
😄 Mandela umechekaa basiKuna BAUNSA mmoja hapo amekula UBAPA WA PANGA hadi akakimbia 😂😂
Una homemade kweli, kuna familia nazijjua ziko obay na masaki wanagombana balaaaMara nyingine ni ushindani wa kifamilia na uroho wa mali tu.
Kuna watu wa kishua halafu wana pesa zao kunishinda mimi, halafu bado wanagombea mali za urithi.
ChaiKwa kod anazowapiga wenzie, kwenye frem za electronics na wauza saa. Huyo dd ana masharti Kinoma kwenye nyumba yake
1. Nyumba una ghorofa 5 huko juu kuna store wa awake hawaruhusiw kupanda bila kujifunika kuchwa
2. Ni mkubwa ila ukimsalimiia shkamooo mnakosana
3. Ukifunga frem usije siku hiyo bila kumwambia ni kosa
4. Sio ruhusa kufunga mapema
5. Huruhusiw kwenda kwenye frem ya mwenzako muongee
Yani masharti ni mengi
Ila we Mrangi una vitu vingi sana unavijua, Kanji alikuwa mtu poa sana, mimi ni mmoja wa wafanyakazi wakeKuna tajiri mmoja anaitwa kanji
Ni marehemu yeye ndy anamiliki ghorofa lile la faykat tower na pale aliwavua sana watu alivyokuwa hai alikuwaga ananiambaaga anataka pale awe na sehemu yKe tu mtaa mzima
Sema ukifanya naye biashara jamaa lazima atakuoa hela na nyumba atakutafutia sehemu nyingine,sijawahi ona tajiri mweny roho kama jamaa
Ova
MABAUNSA wamechezea kichapo 😂Mabaunsa si wanaendaga kama nyumbu 😄
Ova
Ila Marehemu nae alikua anamwaga za mbegu sasa watoto wote 11 angekua hata na watoto wa 3 kama mimi.Nimeona video inatrend ya ugomvi mkubwa wa nyumba ya urithi Kariakoo mtaa wa Manyema.
Nyumba hiyo ya ghorofa 5 ilijengwa na mzee anaeitwa Mohammed Alidina ambae alifariki miaka kazaa iliyopita.
Mzee huyo wakati akiwa hai alitoa sehemu ya nyumba hiyo. Floor ya juu itumike kama madrassa na kufanya taratibu za kukabidhi kwa msikiti ambazo waislamu wanaziita waqfu. Ghorofa zilizobaki aliendelea kuzitumia kuishi na zingine kupangisha appartments na fremu kwa wafanyabiashara Kariakoo.
Baada ya huyo mzee kufariki aliacha watoto 11, ambao watoto wao waligawana hizo appartments na fremu na kuendelea na maisha.
Mbeleni watoto wachache wa kiume wa marehemu mzee huyo wakapendekeza wazo la kutaka nyumba hiyo iuzwe kila mtu akajenge kwake. watoto wengine wakapinga kwamba hawataki nyumba iuzwe maana baba yao enzi za uhai alisema nyumba isiuzwe na akatoa sehemu ya nyumba iwe madrassa inayomilikiwa na waislamu wote. sasa watauzaje nyumba yenye wakfu ambayo ni mali ya waislamu wote.
Watoto wenye wazo la kuuza wakaona hapa kuuza ngumu. wakaamua kwenda kumshirikisha imamu wa msikiti ambao ulipewa wakfu sehemu ya nyumba hiyo. maana msikiti ulikuwa na documents za wakfu walizopewa na marehemu baba yao.
Kimya kimya wakashirikiana na imamu wa msikiti uliopewa hizo documents. wakatafuta mteja Mkinga mmoja wakamuuzia nyumba bila watoto wengine kujua.
Mbeleni mkinga huyo ambae ni mnunuzi aliyonunua hiyo nyumba akaenda kuchukua mali yake. Ndipo watoto wengine wakagundua nyumba imeuzwa. Ndipo ugomvi mkubwa ukaibuka na mapanga juu.
View attachment 2928225
Bro Kiranga naomba niku ulize kitu uni shauri.Dah, noma.
Lile eneo limewatoa sana watu.
Kuna cousin wangu mmoja alikuwa anakaa nyuma hapo hapo karibu na kwa Jaji Rubama, waliuza nao wakagawana.
Jamaa yuko poa sasa hivi kasimama kwa pesa ya ile nyumba waliyouza pale.
Pale pazuri, si mbali sana na mjini.
Ukikanyaga kidogo Mbuyuni hii, Selander hii, mara mjini.
Nipo kwenye nafasi ya ushauri wa suala la biashara fulani ya vijana 2.Naam, uliza tu.
Shda ni kwamba ile pesa inakua nyingi afu hukuitolea jasho. Labda uwe na akili za maisha ndo utatoboa. Hii covid tangu imeanza wazee wengi sana wameenda wakaacha mali za kutosha kwa watoto. Hahah yani ni vichekesho kabisa, wengine wenye akili wamefanya vya maana. Shida wale wenzangu na mimi sasa....kuuza mali ya urithi sio mbaya, ubaya unakuja pale utafanya nini na hiyo pesa ukiipata....ukiendeleza ni poa sana hata mtu baki asiekujua akiskia umefanya kiti flani toka kwny urithi inakua ni sifa nzuriiiNipo kwenye nafasi ya ushauri wa suala la biashara fulani ya vijana 2.
Je Kama ungekuwa kwenye miaka 20 hapo, na una nafasi ya umiliki wa eneo lenye potential kiasi chake.
Ukisema uli pangishe ni Kama kutoa sadaka tu, ila kuuza ni Kama una pata mtaji wa maana.
Je ungeuza mkuu au unge endelea kuli miliki, akati mambo yako yapo ndivyo sivyo??
Mkuu ungekuwa wewe na uko mid 20 kazaa ya mwanzoni hapo.Shda ni kwamba ile pesa inakua nyingi afu hukuitolea jasho. Labda uwe na akili za maisha ndo utatoboa. Hii covid tangu imeanza wazee wengi sana wameenda wakaacha mali za kutosha kwa watoto. Hahah yani ni vichekesho kabisa, wengine wenye akili wamefanya vya maana. Shida wale wenzangu na mimi sasa....kuuza mali ya urithi sio mbaya, ubaya unakuja pale utafanya nini na hiyo pesa ukiipata....ukiendeleza ni poa sana hata mtu baki asiekujua akiskia umefanya kiti flani toka kwny urithi inakua ni sifa nzuriii