Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Tunashukuru ila shida inakujaga pale kwenye CAPITAL tuuuu...
Komaa Mkuu...., hiyo dalili ya kushindwa
 

Na je kama ulikuwa umeajiriwa ualimu msingi, unaweza kujiajiri kwa kufanya kitu gani inayoendana na fani hii.
 
Na je kama ulikuwa umeajiriwa ualimu msingi, unaweza kujiajiri kwa kufanya kitu gani inayoendana na fani hii.

Vya kufanya viko vingi mkuu ni wewe tu kaungalia mazingira yako uliko, Yule Muguku wa Kenya sasa Marehemu alikuwa ni mwalimu lakini aliacha na akaingia kwenye ufugaji wa kuku na mapaka anafariki 2010 alikuwa ni Bilionare namba 5 nchini Kenya,
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO’s, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business


Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

 
Nice thread people can got something that will change their norms life.
 
Wakuu bora mtu wazo kuliko hela. Binafsi nilipokuwa nasoma niliamni cku nikiajiriwa basi shida kwaheli.chakushangaza ziliongeka maradufu. Baada ya mda mrefu sana maisha yalizidi kuwa magumu maraodufu.siku moja nkaamua kuwa mjasilia mali nilianza nilikuwa na laki moja ikabidi nikope na hela kidogo kwa mdogo wangu ambae nilimsomesha mwenyewe ila yy alikuwa tayari kawa mjasilia mali japo m
Kidogo.

Nilianza kuuza vifaa vidogovido kama flash, badae nikajifunza na kurepair could comp,baadae ikaanza kunisumbua ilipotakiwa mitoe ushauri wa kitaalamu kwakuwa mwanzo nilijifunza kijanja tuu.kutokana na hilo ikabidi nisome diploma ya IT.na nimeunganisha na degree kabisa ya INFORMATICS kabisa hapa SUA ili nitoe huduma bora zaidi kwa wateja wangu.

Nashukuru mungu mpaka sasa ninaweza kujisomesha taaluma yenye mlengo wa ujasiliamali wangu,naendesha familia na biashara yangu ina mtaji wa mlioni 14.na hapo imeathirika kidogo na pirika zangu za shule ila sio mbaya inaendelea. Ninachosisitiza ni idea uthubutu.tatizo la wasomi ni tunafungwa na hali ya watanionaje?

Angalizo: Si kwamba mpaka naweza fanya yote haya nimejikita kwenye shughuli moja tuu, ila baada ya kamtaji kukua kidogo ikabidi nianze kuwekeza hata kwenye maeneo mengine kama kilimo.juzi hapa nimetoka kuvuna matikiti yangu kufika soko wanunuzi wakaanza kuleta za kuleta ikabidi nikomae mwenyewe kuyachuuza mpaka yakaisha gari zima.kwahiyo wakuyatetea
Maisha yetu ni sisi wenyewe. kama utajifunza kitu kitu basi ni jambo jema.
 
Hahaha, of course hii ndo elimu inayoweza kumbadilisha mtu. Siyo ile elimu ambaayo iko colonial based,unameza madesa mengi, ukinda ktk labour market ni shida. Elimu haimsaidiui kijana kuleta mabadiliko ktk jamii yake. Yaani si siasa tu. Walau mawazo yanabadilika kwa kusoma threads like these.
 

Mkuu naomba unitumie hii post katika email yangu ya kinondoniilala@gmail.com natanguliza shukrani...!
 
Can I Pm you for serious talks pliz???
 

Dada don't ever give up. Press on. Umekaribia kutoboza ngangana utashinda. By Riltz in Pm nitakuelewesha Zaidi.
 
Ningependa kufahamu zaidi kwani ninawazo la kuanzisha biashara ambayo nimejaribu kuchunguza nikaona ina mafanikio lakini tatizo lipo kwenye mtaji kwani ninaishi maisha ya chini sana. Ahsante sana
 

Hao wanaitwa 'chuma ulete' hata kwenye makanisa wanaingia kupiga sadaka sembuse bness ya mtu WA kawaida!!
Km in Mkristo.

Hiyo bness yako unapoanza uliikabidhi kwa Mungu?!fungu la kumi je?ulikuwa unatoa?!
Manaake km hutoi church unatoa upande WA pili ndo kanuni. ni mawili either kwa Mungu o kwa shetani!!
 
Kuanza ujasiriamali si swala la kuwa na mtaji mkubwa,bali utayari au udhubutu wa mtu mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…