Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 642
Juma WALEO capital si tatizo, kinacho tusumbua ni udhubutu, hapo ndo kuna taabu mkuu, Capital kubwa kuliko zote ni Sprit uliyo nayo, Unaweza fika mbali sana endapo utakuwa kweli na dhamira ya kufanya hivyo, Watu wengi walianza bila mitaji na sasa wako mbali sana, Mtaji mkubwa ni afya yako, ni akili uliyo pewa na mwenyezi mungu na kazalika
Hii mada imekuja wakati husika maana ni mwezi wa kwanza nimeacha kazi na kuamua kutumia ujuzi nilionao kua mjasiriamali. Sitarajii kuajiriwa tena nimeamua kupambana mpaka kieleweke. Uoga wako ndo umasikini wako.
Hii ni personer ishu kila mtu anao uwezo wa kubadilika, Na tatizo kubwa linalo tusumbua wabongo ni KUISHI WATU WANAVYO TAKA, Tunapenda sana maisha ya kuonekana, kusifiwa kwamba fulani kanunua gari kari sana, Fulani anamiliki usafili mkari mtaa mzima,
Watu weupe kwenye ishu Ya pesa wana nidhamu ya hali ya juu kabisa na hata wanavyo kuja kutalii huku si kwamba wana pesa sana bali ni nidhamu yao ndo inawafanya wawe na pesa nyingi sana za kuja huku,
Mzungu akienda Super Marketi anakuwa na List ya Vitu vya Kununua, na kila anacho nunua anatiki, na vikiisha anakula kona, Sasa njoo kwa Wabongo mtyu anaweza enda Supermarket kwa minajili ya kununua sukari ila atatoka na vitu vingine,
Wazungu kama hajaplan kununua kitu fulani na hata kama anakihitaji sana , kama hajapanga hawezi nunua hata ukimtembezea na kumuuzia kwa bei ya chini kabisa hata nunua, Sisi asubuhi tunaenda kazini lakini utashangaa jioni mtu anarudi na Nguo, kisa alikutana na watu wanatembeza akatamani
Mama Joe, watu wanaangalia weekness iko wap ndo wafanye biashara. Ndo mana biashara za nguo na mengine zikatokea.
Jamii Forums ni Chuo kikuuu! Nilishapata shahada ya II[Uzamili] JF. Kwa kusoma Minakasha iliyonitanua Akili, kiujasiriamali, biashara, kisiasa, kiuhusiano, Mapenzi, kiteknolojia, kiafya, Dini, kijamii, Katiba na Elimu
Naendelea kutanua Akili ili nipate shahada III[Uzamivu]
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi
Umemaliza Mkuu,kama haijaeleweka inabidi tutumie Bakora,ubao na chaki.Big up
Vizuri sana, nafarijika kuona umeamua kuchoma meli moto, hakuna kisicho wezekana chini ya jua ukiwa na nia dhabiti,kikubwa ni kuto kata tamaa n usikubali hata siku moja kukatishwa tamaa na kwa walewenye muelekeo wa kukatisha tamaaa hata kama ni ndugu wapotezee mbali sana.
Ujasiriamali ni sawa na mbio za Marathoni, unazuguka uwanja mara 40 nainabakia mita 300 kumaliza mbio unaamua kujitoa.
Fikilia umetumia mudamwigi sana, pesa, kuanzisha project and then unakuja kusalimu amri baadae, inasikitisha sana, so wewe pambana kwa njia yoyote ile, jamii inaweza isikuewe kwa sasa, ila ipo siku watakuelewa hata kama ni baada ya miaka kadhaa,
Unapo lala ota biashara yako, ukiamka wakati wa kuswaki fikilia bishara yako,wakati wakati wa chai, waza biashara yako, mchana hivyo hivyo, wazungu wanasema kufall in love katika biashara, ushawahi sikia hii? so ipo hiyo ya kufall in love katika bishara yako
So dada optional uliyo nayo kwa sasa ni moja tu, only business, so uko kisiwani na umeachwa peke yako, so u need to fight kufa na kupona, na dont accept U-TURN,