Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Habarini wana jukwaa hili. Naimani mko poa sana wa afya.

Niingie moja kwa moja kwenye mada, nina ndugu yangu anauza stationary na wadau wengi wanaoumzunguka eneo lake ni waendesha kirikuu (vigari vidogo vya mizigo).

Nimewaza sana, je ni biashara gani naweza invest ukiachana na vinywaji, chakula, karanga na chai?

Mawazo yako naomba Biashara ya mtaji mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuchangiwa mawazo kwenye biashara. Mawazo ni yako mwenyewe.

Jaribu kuja na wazo kisha ndio uombe ushauri.
 
Yaani watanzania ni Watu waajabu sana yaani kuwa tajiri lazima uwe mwizi !!!
Tatizo watanzania ni Watu wajinga kweli kwa sababu ya mawazo mgando Watu hawalali wanatafuta hela Watu wanafanya juhudi kila kona kizipata hizo hela alafu wew unasema wizi au mchawi huo si upunguani!!!

Tatizo ni uvivu na kauli yako imekaa kivivu ndio maana ukafikiri hivyo
 
Yaani watanzania ni Watu waajabu sana yaani kuwa tajiri lazima uwe mwizi !!!
Tatizo watanzania ni Watu wajinga kweli kwa sababu ya mawazo mgando Watu hawalali wanatafuta hela Watu wanafanya juhudi kila kona kizipata hizo hela alafu wew unasema wizi au mchawi huo si upunguani!!!

Tatizo ni uvivu na kauli yako imekaa kivivu ndio maana ukafikiri hivyo
Unajichekesha sana tangu lini mwizi akalala mwizi ni mtu wa timing brother.

"walio na macho hawaoni na walio wenye masikio hawasikii"

Hakuna jipya hapa duniani.
 
Back
Top Bottom