Democrasia umekuwa nayo miaka mingi na hujaeta maendeleo.. bado masikini.. Leo tunainua uchumi wetu na kukemea vitendo vya wizi .. wewe unakaa tu kusemea wanaume wa ulaya .. Eti Domokorosia... Mtu ushinde unapiga porojo bila kufanya kazi kisa democrasia..Acheni elements za ki DICTATOR na mambo yatakuwa mazuri. Democracy haileti umasikini bali maendeleo ya kweli.
Watu wengne buana.....!!!! Mnadhan ulaya kuna wajomba wenu? Mbona mnawaamini sana hawa kupita kiasi?Ndo msaada pekee uliobaki kuinusuru hali yetu dhidi ya wakoloni weusi.
Kwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Mkuu huwa wanaanza kidogokidogo...na wanaoumia ni wananchi wa chiniHiyo itakuwa ni nafuu kuliko trade embago na kusitishiwa misaada na mikopo kwani hao hata wasipoenda siyo shida sana kwakuwa rais mwenyewe haendi
Basi umesema uongo!
Yajayo yanafurahisha! Vodacom kazi ni kwetu
Na waangalie viongozi wote katika utawala huu mwenye visenti vyake huko wavipige pini.
Safi sana!!
Nyoosheni hawa watu.
Mpumbavu ni wewe unae abudu ukoloni mambo leo!Yaani mtu moja anaitia hasara nchini kwa upumbavu wake
Empty headed!Hilo liko wazi MBONA tangu kitambo wakolomije ulaya na USA wataionea YouTube forever,wakajaribu viza kama watapewa.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikal
Ilitakiwa wazuie kabla Keagan hajazaliwa...now its too lateAisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Ndugai wamzuie kwenda IndiaWengine wanaoweza kukumbwa na kadhia hii ni Dotto , paymaster General; Kalemani , Waziri wa Nishati; Mwakyembe , Waziri wa habari;Kabudi Palamagamba na spika Ndugai!!!
Ndugai wamzuie kwenda India
.Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Kwanini wauondoeHivi huu uzi uliondolewa?
Kwahiyo maazimio 15 wametusingizia mpuuzi weweKama umefuatilia news za wenzetu siku mbili hizi utakuwa umekutana na news kuwa Marekani inaanza kupambana rasmi na ukuwaji wa uchumi na influence wa nchi ya China na Russia Africa.
Kwa hiyo, hawa jamaa wakiweka vikwazo Tanzania, wala siyo kwa faida yetu au kwa kutusaidia. Lengo lao kubwa ni kuibana China na Russia kwenye nchi za Africa.
Sisi huku tutapiga makofi na kuwashukuru wakati mzee Trump hana time na wewe kabisaa, lengo ni kuiangusha China na Russia.
Wapiganapo fahari wawili... Ziumiazo nyasi... Endeleeni kuwapigia wazungu makofi.
Chanzo cha habari ni BBC, Aljazeera na Reuters
U.S. to counter China, Russia influence in Africa: Bolton | Reuters