Baadhi ya Viongozi waliokufa vifo tata

Kifo cha raisi jpmagu kilinifikirisha sana, kwanza kabisa hakuna alie amini kama jpm katuacha sio wabaya wake wala sio wapenzi wake, ilikua patashika sana

Kifo cha membe japo sijawahi kua shabiki yake ila nacho kina nadharia tata mbili tatu
 
Lissu ilibaki nukta apitishwe hivi. Ben saane, japo hakuwa wa sirikali ya ccm lakini duniani hayupo na mbinguni hajaoneka. Azory gwanda hakuwa kiongozi lakini hajulikani alipo mpaka kesho. JIWE LINAUNGUZWA SANA SAA HII.
Usicjokijua ni kuwa, wakati wa JPM, kuna mjanja mmoja aliendesha vitendo viovu ili kumchafua JPM.

Ndiyo maana JPM alisema msitufanye watanzania wajinga kiasi hiki. Ni kufuatia kutekwa kwa MO, aligundua mchezo mzima aliokuwa akichezewa.
 
John Kijazi, Mahiga
 
Usicjokijua ni kuwa, wakati wa JPM, kuna mjanja mmoja aliendesha vitendo viovu ili kumchafua JPM.

Ndiyo maana JPM alisema msitufanye watanzania wajinga kiasi hiki. Ni kufuatia kutekwa kwa MO, aligundua mchezo mzima aliokuwa akichezewa.
Yaani magufuli ajue mtu katekwa na mbaya wake akae kimya? Wewe utakuwa ulimjua ukiwa mkubwa ? Unakumbuka alichokisema kuhusu kisiju? Nn kilimtokea gwanda? Au unafikiri sisi tunaishi ulaya?
Peekaboo propaganda zako usukumani huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…