Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Luteni Jenerali Imran Kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu aliondoka kwenda matibabuni akiwa anatembea vizuri mwenyewe ila akarudi kwenye jenezaJ. K. Nyerere
Kumbe hata John Kennedy Rais wa Marekani alijiuwawa eti .... KARUME, Gandhi, si ndio unachokisema hapa...ficha ujinga huo ...vipo vifo vya kuamini matendo ya Mungu na vipo vifo binadamu wanawatanguliza wenzao...Lumumba!!Wewe kama unaenda kanisani au msikitini usiende maana huna imani? Mungu kuchukua kiumbe chake alichoumba mwenyewe wewe unaweweseka? Hujawahi kufiwa wewe? Tuseme hata ndugu zako waliofariki nao kuna watu wamewaua?
Mtaacha lini mambo ya kuzushia watu uongo kwa manufaa ya kikabila, dini na siasa za kikanda.?
Kifo cha membe na magufuli ni vifo kama vingine tu wewe hivyo vitisho kwa wengine walio hai unavitoa wapi?
Mbona hata nyerere na sokoine waliofanya makubwa walikufa? Nani aliwaua?
PK= PALAMAGAMBA KABUDI??Mchungaji Christopher Mtikila inasemekana PK anahusika.
Huyu siyo kifo tu, hata kufa kwenyewe ni utata. Alikufa au lah? Kaburi halipo nchi hii. Hata picha tu haikuonekanaDaud Balali
Endelea kujiita Dr .Utata wa kifo cha Mkapa ni UPI?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]PK= PALAMAGAMBA KABUDI??
PK = Prisca KishambaPK= PALAMAGAMBA KABUDI??
Kifupi hiyu tupo naye anaishi hapa hapa dunianiHuyu siyo kifo tu, hata kufa kwenyewe ni utata. Alikufa au lah? Kaburi halipo nchi hii. Hata picha tu haikuonekana
Sio jiwe?Mchungaji Christopher Mtikila inasemekana PK anahusika.
Paka alikuwa na bifu Gani na DK. Omar?Mchungaji na makamu mkono wa PK unahusika
Alikuwa na infor mhimu kuhusu genocide,Paka alikuwa na bifu Gani na DK. Omar?
Au wataka sema mlengwa alikuwa Laurent ila hawakumtarget vizuri
Alikuwa na infor mhimu kuhusu genocide,Paka alikuwa na bifu Gani na DK. Omar?
Au wataka sema mlengwa alikuwa Laurent ila hawakumtarget vizuri
Dr Omary, kwa story niliyoipata, siasa ni mchezo mchafu all the time.
Alikuwa na infor mhimu kuhusu genocide,Paka alikuwa na bifu Gani na DK. Omar?
Au wataka sema mlengwa alikuwa Laurent ila hawakumtarget vizuri
Namba moja nasikia aliji overdose viagra1. Dr. Omary Ali Juma
Huyu alikuwa ni Makamu wa Rais katika Serikali ya Rais Benjamin Mkapa. Alienda kufungua maonyeshi ya sabasaba akiwa na Rais Kabila wa Kongo, kesho yake tukapata tanzia.
2. Benjamin Mkapa
Rais wa awamu ya tatu, jioni moja ya mwezi july mwaka 2020 ikiwa imebaki miezi michache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 tulitangaziwa kifo chake cha kushtusha. Maswali yakawa mengi
3. Edward Sokoine
Waziri Mkuu mzalendo pengine kuwahi kutokea. Alifariki katika ajali ya gari huko Dumila. Mpaka leo watu wanajiuliza gari ya Dumisan Dube iliwezaje kuifikia gari ya Sokoine?
4. Horace Kolimba
Alikuwa ni katibu mkuu wa ccm, akateleza kwakusema ccm imepoteza dira. Akaitwa Kizota Dodoma kujieleza mbele ya CC ya CCM baada ya kumalizia kuongea akadondoka na kufariki dunia.
5. Mchungaji Christopher Mtikila
Mwenyekiti wa chama cha DP, zikiwa zimebaki siki chache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 alipata ajali huku mkanda wake ukikutwa shingoni mwake.
Itaendeleaaaa....