Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Daud Balali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlijinoma sana kuiondoa damu mbichi ile. Mtailipia, Kaanza Membe, wengine jipangeni.Ni sawa tu wote njia moja nakushangqa wewe unaona miujiza kufa kwa raisi alikufa raisi wa USA . itakuwa yule nyapara mchunga mifugo?
Mungu ndiyo aliyeumba na ndiye anaua kumlalamikia ni ujuha . Ulitaka afe nani sasa?
Ninakuona ulivyo upande ule. Tetea sana uovu wenu. Mjue siku zenu zinahesabika.Yaani magufuli ajue mtu katekwa na mbaya wake akae kimya? Wewe utakuwa ulimjua ukiwa mkubwa ? Unakumbuka alichokisema kuhusu kisiju? Nn kilimtokea gwanda? Au unafikiri sisi tunaishi ulaya?
Peekaboo propaganda zako usukumani huko
Amesema itaendeleaItakua bando limemuishia.
Upo kwenye jukwaa la majadiliano. Unataka wote wawe na mtazamo kama wa kwako? Ulienda shule wewe? Unafikiria Tanzania ni ya bibi yako kwamba unachokiamua wewe ndiyo msimamo wa wote . Kawatishe wafugaji wenzio mwehu mmoja wewe. Mmekaa mnaendeleza chuki kila kukicha kisa fulani kafa? Amekufa kambarage na hapajatokea kitu itakua hizo takataka za kuokota jalalani?Ninakuona ulivyo upande ule. Tetea sana uovu wenu. Mjue siku zenu zinahesabika.
Kaogopa huyoUmesahau au umeogopa kuendelea ?
Membe alikuwa nani sasa? Si alikuwa mtumishi wa umma kama wengine tu. Amekufa kwa mapenzi ya mungu we umakaa na ka bundle kako ka mkopo hapo unatisha watu. Kwa hiyo na mkapa aliuwawa? Nyerere pia aliuwawa? Embu muwe na imani basiMlijinoma sana kuiondoa damu mbichi ile. Mtailipia, Kaanza Membe, wengine jipangeni.
Ukianza dharau, ninaweza. Nasimamia ninachokiamini. Simamia unachokiamini.Upo kwenye jukwaa la majadiliano. Unataka wote wawe na mtazamo kama wa kwako? Ulienda shule wewe? Unafikiria Tanzania ni ya bibi yako kwamba unachokiamua wewe ndiyo msimamo wa wote . Kawatishe wafugaji wenzio mwehu mmoja wewe. Mmekaa mnaendeleza chuki kila kukicha kisa fulani kafa? Amekufa kambarage na hapajatokea kitu itakua hizo takataka za kuokota jalalani?
Kumbe unayajua yote.Membe alikuwa nani sasa? Si alikuwa mtumishi wa umma kama wengine tu. Amekufa kwa mapenzi ya mungu we umakaa na ka bundle kako ka mkopo hapo unsatisfactory watu. Kwa hiyo na mkapa aliuwawa? Nyerere pia aliuwawa? Embu muwe na imani basi
Wewe kama unaenda kanisani au msikitini usiende maana huna imani? Mungu kuchukua kiumbe chake alichoumba mwenyewe wewe unaweweseka? Hujawahi kufiwa wewe? Tuseme hata ndugu zako waliofariki nao kuna watu wamewaua?Ukianza dharau, ninaweza. Nasimamia ninachokiamini. Simamia unachokiamini.
Kama sinema, ila maisha ya watu yanaenda.Dr.Mgimwa na Steven Kibona wote walikufa wakiwa Mawaziri wa Fedha na wote walifia Nje ya Nchi
Sasa kama bwana alitoa bwana ametwaa hizi nongwa za kuwatishia wengine zinatoka wapi? Kwani imeandikwa kwamba atangulie nani? Unasema mmeua damu mbichi halafu unaudited kwenye maandiko?Kama sinema, ila maisha ya watu yanaenda.
Bwana alitoa, bwana ametwaa. Jina la bwana lihimidiwe. Nimemsikia JK wakati wa kutoa salamu msibani kwa Membe.
Profesa Kighoma Ali Malima umemsahau vipi hapa mhenga mwenzangu!Dr.Mgimwa na Steven Kibona wote walikufa wakiwa Mawaziri wa Fedha na wote walifia Nje ya Nchi
Wengi wa miaka ya 2020-2022 UVIKO ilipita naoUtata wa kifo cha Mkapa ni UPI?
Mbona unaloloma kama umeingiliwa root, vipi?Sasa kama bwana alitoa bwana ametwaa hizi nongwa za kuwatishia wengine zinatoka wapi? Kwani imeandikwa kwamba atangulie nani? Unasema mmeua damu mbichi halafu unaudited kwenye maandiko?
Na wale wanaofia matumboni mwa mama zao je? Nao wameuawawa?
Elimu, elimu, elimu
Mm silolomi nakushangaa tu namna ulivyo na uwezo mdogo wa kuchanganua masuala. Kama mpaka leo bado unaabudu watu badala ya nchi yako. Upo tayar watu wahasimiane kisa mungu alichukua kiumbe wake sasa naloloma nn hapo? Unaenda mbali kwa kuwatisha watu ambao kimsingi siyo wanaoumba wala kuua. Wewe pia na mm hatujui tunakufa lini? Lakini unalalamikia vifo vya wengine sasa si lazima tukushangae?????Mbona unaloloma kama umeingiliwa root, vipi?