NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ajira mpya za walimu kama 9,800 zimetangazwa nchini hapo jana lakini idadi ya walimu wasio na ajira ni kubwa Sana mtaani kuna haja ya Serikali kufikiria upya kuhusu kuendelea na kufundishwa kozi kozi za ualimu nchini kwani hazina tija tena KWA taifa letu kwa sasa.
Ukijaribu kuchukua idadi ya Wahitimu wa ualimu kwa takriban miaka mitano hivi utagundua sekta ya ajira imezidiwa na wahitimu wa kozi hiyo hata kama wakiajiriwa Ili kukidhi mahitaji ya shule na vyuo bado Walimu watabaki mitaani wengi Sana na kozi za ualimu hazina ujuzi wa kujiajiri ZAIDI ya kusubiri kuajiriwa au kujiajiri KWA KAZI ambayo Mwalimu hajaisomea
Wizara ya Elimu badilisheni vyuo hivi kuwa vyuo VYA kilimo na mifugo Ili vijana wawe na uwezo wakujiajiri watokapo vyuoni kwani kilimo na mifugo ni ajira tosha kabisa kuliko ualimu hata ufundi mbalimbali itasaidia vijana watokapo vyuoni kujiajiri KWA KUTUMIA taaluma walizozisomea
Tupunguze wahitimu wasio na uwezo wa kujiajiri mitaani KWA kuanzisha kozi nyingi zinazokidhi vigezo VYA kujiajiri.
Kozi zisizo na uwezo wa kumsaidia kijana kujiajiri ni kikwazo KWA maendeleo ya uchumi wetu.
Wizara husika itazame upya aina ya vyuo na kozi zinazofundishwa kama zinaenda a na soko la ajira nchini.
Asanteni kwa kusoma.
Ukijaribu kuchukua idadi ya Wahitimu wa ualimu kwa takriban miaka mitano hivi utagundua sekta ya ajira imezidiwa na wahitimu wa kozi hiyo hata kama wakiajiriwa Ili kukidhi mahitaji ya shule na vyuo bado Walimu watabaki mitaani wengi Sana na kozi za ualimu hazina ujuzi wa kujiajiri ZAIDI ya kusubiri kuajiriwa au kujiajiri KWA KAZI ambayo Mwalimu hajaisomea
Wizara ya Elimu badilisheni vyuo hivi kuwa vyuo VYA kilimo na mifugo Ili vijana wawe na uwezo wakujiajiri watokapo vyuoni kwani kilimo na mifugo ni ajira tosha kabisa kuliko ualimu hata ufundi mbalimbali itasaidia vijana watokapo vyuoni kujiajiri KWA KUTUMIA taaluma walizozisomea
Tupunguze wahitimu wasio na uwezo wa kujiajiri mitaani KWA kuanzisha kozi nyingi zinazokidhi vigezo VYA kujiajiri.
Kozi zisizo na uwezo wa kumsaidia kijana kujiajiri ni kikwazo KWA maendeleo ya uchumi wetu.
Wizara husika itazame upya aina ya vyuo na kozi zinazofundishwa kama zinaenda a na soko la ajira nchini.
Asanteni kwa kusoma.