Baadhi ya waislamu wamjia juu Mwijaku kwa kuudhalilisha Uislamu

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ebana wanajamvi inakuwaje

Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.

Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.

Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.




 
Mambo yake muachie mwenyewe...


Cc: Mahondaw
Kabisa. Umenifundisha jambo kubwa kupitia hii comment. Siku hizi mtu akianza kuniuliza habari ya mtu mwingine au ndugu ananiuliza habari za ndugu mwingine au mke wangu.

Mimi huwajibu "tuongee yanayotuhusu mimi na wewe"

Kwanini nimefika hapo. Mtu anakuuliza kitu labda habari ya kaka yako mlevi au mraibu wa kamari, unatoa maelezo vizuri tu! Ye anaenda tena kutoa new version ya kile ulichosema! Ugomvi tayari.
 
Hakika....
 
Na kiukweli mtu mwenye akili hawezi kupata muda wa kuongelea mambo ya mtu mwingine maana hayakuhusu
 
Accumen Mo mrangi King Kong III
 
Alafu wake zenu wakipigwa mbupu mnalalamika,unadhalilika mbele ya mke wako na mtoto wenu.Uzungu mwingi mbele kiza.
Mbona wake wa masheikh wanagongwaga hadi kufumuliwa marinda. Wakishamaliza hao wanajitanda mabaaibui yao na kuondoka. Ukiwakaribisha kitimoto wanakuambia ni haramu.

Baljurashi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…