- Thread starter
- #41
Muislamu pure. Siyo mnafiki kama nyie eti kula kiti moto hadharani ndio dhambi lakini kwa kujificha siyo dhambi.Mgalatia mwenzio huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muislamu pure. Siyo mnafiki kama nyie eti kula kiti moto hadharani ndio dhambi lakini kwa kujificha siyo dhambi.Mgalatia mwenzio huyo
Kamfadhili mkimbizi wa kichaga aliyekuja Dar kutafuta miasha , kaeni kwenu mtulie ....Muulize Mengi mpaka akamuoa K-lyinMuislamu pure. Siyo mnafiki kama nyie eti kula kiti moto hadharani ndio dhambi lakini kwa kujificha siyo dhambi.
Sasa hapo Wagalatia wameingiaje wakati waliocomment khs hayo mavazi ni magaidi wenzakoTafuteni hela wagalatia, ni umasikini unawasumbua
Kama huna hela ya kwenda Dubai kufanya shopping, pambana na hali yako
Mbona na nyie mnakazwa sasa???Nyie mna dini ya kisasa ndio maana Papa amewaita mkabarikiwe nyie na waume zenu ni ruksa kulana malinda.
Mbona na nyie mnakazwa sasa???
Hawa huwa wana wenge wakati wote.Sasa hapo Wagalatia wameingiaje wakati waliocomment khs hayo mavazi ni magaidi wenzako
Mbona mnamwonea wivu Mwijaku, wenye dini yao wanachekelea kule nyuma.Ebana wanajamvi inakuwaje
Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.
Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.
Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.
View attachment 3012829
View attachment 3012831View attachment 3012832
View attachment 3012882View attachment 3012883
Kwan alivobadili dini si mlishangiliaEbana wanajamvi inakuwaje
Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.
Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.
Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.
View attachment 3012829
View attachment 3012831View attachment 3012832
View attachment 3012882View attachment 3012883
Huyo ni kafiri mwenzako,acheni kupiga ngoma na kukata viuno wenyewe hapo hapo msije mkaangusha shanga za kiunoni.Sasa hapo Wagalatia wameingiaje wakati waliocomment khs hayo mavazi ni magaidi wenzako
Epuka sana kujadili watu ni mbaya mno uyo anaekuletea ya wengine hata yako anayasambaza kwa wengine na ndio chanzo cha uchonganishi.Kabisa. Umenifundisha jambo kubwa kupitia hii comment. Siku hizi mtu akianza kuniuliza habari ya mtu mwingine au ndugu ananiuliza habari za ndugu mwingine au mke wangu.
Mimi huwajibu "tuongee yanayotuhusu mimi na wewe"
Kwanini nimefika hapo. Mtu anakuuliza kitu labda habari ya kaka yako mlevi au mraibu wa kamari, unatoa maelezo vizuri tu! Ye anaenda tena kutoa new version ya kile ulichosema! Ugomvi tayari.
Baada ya hii mada ngoja pia tupate povu kutoka Vatican ya BonyokwaEbana wanajamvi inakuwaje
Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.
Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.
Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.
View attachment 3012829
View attachment 3012831View attachment 3012832
View attachment 3012882View attachment 3012883
Sasa hivi ni ruksa.Wazee wa makobazi hapa full mapovu, ila kwenye ile ya mzee wa yemen kuoa katoto ka miaka 8, kukabaka na kukalawiti hadi kifo wamekaa kimya. Kobazi oyeeee.
Wewe huna stress coz umesha ruhusiwa sasa.Kobaz on the beat..
Full stress hawa watu.
Tuongee yanayotuhusu 👏🏾👏🏾👏🏾Kabisa. Umenifundisha jambo kubwa kupitia hii comment. Siku hizi mtu akianza kuniuliza habari ya mtu mwingine au ndugu ananiuliza habari za ndugu mwingine au mke wangu.
Mimi huwajibu "tuongee yanayotuhusu mimi na wewe"
Kwanini nimefika hapo. Mtu anakuuliza kitu labda habari ya kaka yako mlevi au mraibu wa kamari, unatoa maelezo vizuri tu! Ye anaenda tena kutoa new version ya kile ulichosema! Ugomvi tayari.
Kwanza huyo mtoto ninwa kike au wa kiume??Alafu wake zenu wakipigwa mbupu mnalalamika,unadhalilika mbele ya mke wako na mtoto wenu.Uzungu mwingi mbele kiza.