Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sawa mremboHuyo ni kafiri mwenzako,acheni kupiga ngoma na kukata viuno wenyewe hapo hapo msije mkaangusha shanga za kiunoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mremboHuyo ni kafiri mwenzako,acheni kupiga ngoma na kukata viuno wenyewe hapo hapo msije mkaangusha shanga za kiunoni.
Babako.Sawa mrembo
Hao wanafiki ni waislam kuliko waarab ambako mwijaku yupo?Ebana wanajamvi inakuwaje
Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.
Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.
Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.
View attachment 3012829
View attachment 3012831View attachment 3012832
View attachment 3012882View attachment 3012883
Kafanye homework yako vizuri, hakwenda "hijrah" Makkah.Ebana wanajamvi inakuwaje
Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.
Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.
Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.
View attachment 3012829
View attachment 3012831View attachment 3012832
View attachment 3012882View attachment 3012883
Kabisa.Epuka sana kujadili watu ni mbaya mno uyo anaekuletea ya wengine hata yako anayasambaza kwa wengine na ndio chanzo cha uchonganishi.
Proud to beEbana wanajamvi inakuwaje
Msomi, mtangazaji, mchekeshaji, mhamasishaji (influencer) na mchekeshaji maarufu DC Mwijaku mtu wa maana sana halaaa amejiwa juu na baadhi ya waislam kwenye ukurasa wake wa Facebook baada ya kuposti video akiwa likizo na familia yake dubai.
Waumini hao wamekasirika na kufedheheshwa na kudai Mwijaku anaudhalilisha Uislamu kwa mavazi ya aibu waliyovaa mke wake na binti yake ambao wako likizo wakila bata Dubai.
Wahafidhina hao ambao walitokwa na povu kali na kuposti comment zao kwa jazba na kudai haiwezekani majuzi tu Mwijaku alienda hijrah Mekkah kwenye ibada takatifu na kuruhusu kuudhalilisha uislamu.
View attachment 3012829
View attachment 3012831View attachment 3012832
View attachment 3012882View attachment 3012883
MaamaeeProud to be
Wewe vipi ushawahi kutoka hapo unapobeba box? Au makaratasi hayajatimia? Mungu akubarikiAcha tu mwijaku aenjoy na dada yangu. Wanasemaga wanawake wa kichaga hawadumu kwenye ndoa. Huyu mke wa mwijaku wametoka naye mbali tangu jamaa hana kitu na sasa hivi analala juu ya ghorofa. Na kwenye video mwijaku kawaahidi haters baada ya dubai ni Marekani. Mungu aibariki hii familia ya Mwijaku.
Accumen Mo