Baadhi ya waislamu wamjia juu Mwijaku kwa kuudhalilisha Uislamu

Baadhi ya waislamu wamjia juu Mwijaku kwa kuudhalilisha Uislamu

I
Waisilamu na uislam ni dini ya zama za kale,hata kalenda yao ipo mwaka 1400s,sasa watu wa aina hii wanafanya nini katika ulimwengu wa sasa,ndio mana yamejaa ugaidi na ujinga.
meandikwa, waislam Wana dini yao na nyie mna dini yenu, na, hamtoabudu wanaye muabudu na Wala hawato abudu Mnacho abudu.
 
Hebu waache wainjoi....wao wanaolalamika wavae ninja watulie.

Kuna mwaarabu hapo jicho lipo kwenye wowowo la mrs mwijaku.
Unamaanisha huyu?🤣😅😅

20240609_201443.jpg
 
Ewaaaaahhhh anaangalia al-batah
Acha tu mwijaku aenjoy na dada yangu. Wanasemaga wanawake wa kichaga hawadumu kwenye ndoa. Huyu mke wa mwijaku wametoka naye mbali tangu jamaa hana kitu na sasa hivi analala juu ya ghorofa. Na kwenye video mwijaku kawaahidi haters baada ya dubai ni Marekani. Mungu aibariki hii familia ya Mwijaku.

Accumen Mo
 
Acha tu mwijaku aenjoy na dada yangu. Wanasemaga wanawake wa kichaga hawadumu kwenye ndoa. Huyu mke wa mwijaku wametoka naye mbali tangu jamaa hana kitu na sasa hivi analala juu ya ghorofa. Na kwenye video mwijaku kawaahidi haters baada ya dubai ni Marekani. Mungu aibariki hii familia ya Mwijaku.

Accumen Mo
Mgalatia mwenzio huyo
 
Back
Top Bottom