Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakumbushe waeleza sera za Mbowe
 
Molemo aka John Mrema acha kutapatapa
 
Molemo, ninakufahamu kitambo ungekuja na hoja tofauti na hii ningeshangaa sana.
Wewe na FAM ni chura na maji.
 
Mbowe sera zake ni masimango kaishiwa sera kabsa
Anataja hadi tiketi ya ndege aliyonpatia Lissu ,hakika mwaka 2025 umetuonyesha ni jinsi gani huyu Mzee alivyo Mweupe kichwani
 
Mzee Mbowe must GO
 
Hii counter attack ya Lissu kugombea uenyekiti imewavuruga wamachame kinoma yaani Mbowe alivyokuwa analialia kwenye ile interview ya Kikeke anaonyesha wazi amepigwa na kitu kikali.
Alishazoea kutimua waliokuwa wanataka hii nafasi yake kama Zitto kabwe na Mzee Sumae ,hapa kwa Lissu ni amekanyaga moto wa kifuu huyu Mzee
 
Wewe ni mtu mjinga kupindukia, Mbowe ana point ipi? Masimango ya mbowe ndiyo point? Mbowe ndiyo mropokaji, Ukiwa mjinga mjinga utaona Lisu anaropoka, lakini ukiwa na Akili timamu ya kupenda ukweli na haki utamuona Lisu yupo sawa na vizuri, Lisu kaongea ukweli na Lisu hujibu maswali ya wandishi huwezi kumpangia cha kuongea na wapi kwani hiki ni kipindi cha kampeni akiulizwa swali atajibu ingawa chawa wa mbowe kwa ujinga wao huona ni uropokaji, Ukweli unauma kuleni pesa za mbowe lakini kura ni kwa lisu
 
Team FAM inakabiwa kwa juu na team TAL kuhakikisha team FAM haivuki mstari wa katikati na kuleta madhara langoni mwa team TAL.

dk ya 75' team TAL inaongoza.
(FAM 1:4 TAL)
 
Chawa wa mbowe wengi kwa Akili yao ndogo wamekariri kuwa Lisu anaropoka, sasa endelee kukariri ujinga wenu huku wenye Akili Timamu wakichukua ukweli wa Lisu na kuuganyia kazi
 
Mbowe kusema yeye ndo aliokoa uhai wa Lissu ni kama kufuru. Aache huo ungese. Walioshiriki hadi kumfikisha Lissu hospitalini ni wengi na sio Mbowe peke yake. Halafu kama kiongozi mkuu wa CHADEMA ilikuwa lazima awe mstari wa mbele kumsaidia Lissu. Ulikuwa ni wajibu wake.
 
Si kila kauli ni upotoshaji bali inaweza kufikiliwa ni uropokaji ikitolewa sehemu isiyo sahihi.
 
Team FAM inakabiwa kwa juu na team TAL kuhakikisha team FAM haivuki mstari wa katikati na kuleta madhara langoni mwa team TAL.

dk ya 75' team TAL inaongoza.
(FAM 1:4 TAL)
Hahaha Tena Timu ya mbowe inalipwa mabilioni inakula pesa za mbowe kama mchwa na bado inalemewa na Timu ya Lisu isiyo na Pesa lakini inapenda ukweli na haki
 
Natambua Lissu kama walivyo binadam wengine anayo mapungufu yake, lakini wanachadema walio wengi wanataka yeye ndiye awe mwenyekiti mpya wa chadema...nyingine zote ni porojo tuu!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…