Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Si kila kauli ni upotoshaji bali inaweza kufikiliwa ni uropokaji ikitolewa sehemu isiyo sahihi.
Chawa wa mbowe wanakula pesa za mbowe wanamdanganya Lisu ni mropokaji, kumbe wanazidi kumfanya Mbowe apote kwa kukumbatia masimango
 
"Tundu Lissu hapati hata kura 100 kwenye uchaguzi " - Yericko Nyerere
Wewe na kamati ya Roho mbaya iliyoundwa na mbowe chini ya Mdee, wenje, Boniface mtaiba kura njama zenu zinajulikana vizuri, uchaguzi huru na haki Mbowe hawezi kushinda, Mbowe ataununua uenyekiti kwa uchakachuaji tu si vinginevyo
 
Molemo, ninakufahamu kitambo ungekuja na hoja tofauti na hii ningeshangaa sana.
Wewe na FAM ni chura na maji.
Chawa wa mbowe wanamshukuru Lisu kumtia pressure Mbowe kwa imewaletea Ulaji toka kwa mbowe, wanavuna pesa nyingi toka kwa mbowe kwa kazi ya kumdhoofisha lisu
 
Kwa sasa kama huna pesa ya kula nenda kwa mbowe kachukue pesa na gia ya kuingilia mwambie upo tayari kumdhoofisha lisu, kwa sasa mbowe amekuwa shamba la bibi
 
Alishazoea kutimua waliokuwa wanataka hii nafasi yake kama Zitto kabwe na Mzee Sumae ,hapa kwa Lissu ni amekanyaga moto wa kifuu huyu Mzee
Kifupi ameyatimba. Hii counter attack aliyofanya Lissu imemtoa Sultan Mbowe kwenye mchezo hadi anaanza masimango mara nimemjenga Lissu mara nilimuazima gari afanyie kampeni yaani kama mwanamke wa kizaramo kumbe ni baba wa kimachame,kavurugwa mbaya.
 
Kwa sasa kama huna pesa ya kula nenda kwa mbowe kachukue pesa na gia ya kuingilia mwambie upo tayari kumdhoofisha lisu, kwa sasa mbowe amekuwa shamba la bibi
Na katika b12 alizovuta kwa Samia hapo atatumia kama b2 hicho kiteni chote anachikichia
 
Hana sifa ya kuwa mwenyekiti ila mlivyo msimamisha awe mgombea wa uraisi alikuwa TUNDU LISU HUYU AMA KUNA MWINGINE mwenye sifa ya kuwa RAISI WA TANZANIA,,,, ha ha ha ha ha ha a a a a ACHA MANENO MENGI KURA ZITA AMUA
 
Hela ya Abdul nyoko sana yaani hata Molemo naye kaingia kwenye huu upuuzi !!
 
Ukiwa mkweli hii dunia utachukiwa na raia waovu, bali utapendwa na raia wema.
Mungu Ibariki Tanzania.
 
Takataka, umetumwa na m7 wa bongo Mbowe uandike upuuzi
 
Kamati ya Roho mbaya ya mbowe chini ya Mdee, Boniface, wenje sugu wanahaha kumdhoofisha Lisu pia kumwibia kura siku ya uchaguzi
mdee mbona ni mwana covid19 kaingiaje huko? Ukute ni miongoni mwa hawa members wanaomsigina lissu humu
 
Hela za Abdul na mama yake zimeanza kufanya kazi.
 
Hayo ni maoni yako. Ungeweka nahojiano ya utafiti kwa video, tuone alivyokataliwa au kukubaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…