Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Huu uchunguzi wako una utata mkubwa sana ndani yake,,una lengo lakuwagombanisha ionekane hawaelewani,(divide and rule),,hizo tuhuma zote ni zakutunga tu,inaelekea chombo chako kinatumika kimkakati.
 
Kiukweli bila kuegemea upande wowote sbb mimi sio Chadema, Mr. Mbowe ukimlinganisha na Tundu Lissu, bado Mbowe ana upper hand kiuongozi, tatizo kubwa la Lissu ni kutojua kipi cha kusema kwa muda gani, yaani ni mropokaji, kuwa kiongozi lazima uwe na kifua cha kuhifadhi mambo makubwa mengi, Lissu hana kabisa karama ya kuwa kiongozi, Lissu ni purely mwanaharakati..!!

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi na mwanaharakati..!!

Mr. Mbowe bora aendelee na uenyekiti Chadema..!!
Kiongozi nzuri ni yule anayepewa hela za rushwa kwa maslahi ya wengine, halafu kwa kiongozi nzuri ukiona rushwa ukae kimya? Ujinga mkubwa labda akawe mwenyekiti wa nyumba yako na familia yako
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Tandaza na sifa za Mbowe tuzithaminishe, au yeye ni mweupe kama malaika?
 
Kiongozi nzuri ni yule anayepewa hela za rushwa kwa maslahi ya wengine, halafu kwa kiongozi nzuri ukiona rushwa ukae kimya? Ujinga mkubwa labda akawe mwenyekiti wa nyumba yako na familia yako


Una ushahidi wa rushwa?
 
Wewe ni mtu mjinga kupindukia, Mbowe ana point ipi? Masimango ya mbowe ndiyo point? Mbowe ndiyo mropokaji, Ukiwa mjinga mjinga utaona Lisu anaropoka, lakini ukiwa na Akili timamu ya kupenda ukweli na haki utamuona Lisu yupo sawa na vizuri, Lisu kaongea ukweli na Lisu hujibu maswali ya wandishi huwezi kumpangia cha kuongea na wapi kwani hiki ni kipindi cha kampeni akiulizwa swali atajibu ingawa chawa wa mbowe kwa ujinga wao huona ni uropokaji, Ukweli unauma kuleni pesa za mbowe lakini kura ni kwa lisu
Hawa wajinga wamezoea kulindana, hata kama kuna uovu umefanywa na viongozi wanataka mkae kimya kama CCM. Tofauti ya Lissu hakopeshi wala kulinda ujinga
 
Una ushahidi wa rushwa?
Upumbavu ndipo unapoanzia hapa kwa watetezi wa Mbowe, ushahidi wa kwanza wa rushwa ni wa mazingira kwa sababu haitolewi hadharani. Ghafla Mbowe ana hela nyingi kwenye harakati za uchaguzi wakati chama kilikuwa hakina hela?
 
Upumbavu ndipo unapoanzia hapa kwa watetezi wa Mbowe, ushahidi wa kwanza wa rushwa ni wa mazingira kwa sababu haitolewi hadharani. Ghafla Mbowe ana hela nyingi kwenye harakati za uchaguzi wakati chama kilikuwa hakina hela?


Nenda mahakamani ufungue mashtaka ya kuwa Mbowe ni mla rushwa, acha upuuzi wako kama huna ushahidi, mazingara sio ushahidi, kumbe wewe kiazi kabisa
 
Nenda mahakamani ufungue mashtaka ya kuwa Mbowe ni mla rushwa, acha upuuzi wako kama huna ushahidi, mazingara sio ushahidi, kumbe wewe kiazi kabisa
Kiazi ni wewe mpumbavu unayemtetea Sultani Mbowe! Mahakama yetu ni wananchi na wanachama ndio maana hawamtaki Mbowe.

Lissu ndio habari ya mujini, tulia usije ukatoa mimba yako
 
Kifupi ameyatimba. Hii counter attack aliyofanya Lissu imemtoa Sultan Mbowe kwenye mchezo hadi anaanza masimango mara nimemjenga Lissu mara nilimuazima gari afanyie kampeni yaani kama mwanamke wa kizaramo kumbe ni baba wa kimachame,kavurugwa mbaya.
Mbowe sasa ni mwimba Taarabu mipasho hana sera tena kwa babu masimango hana jipya
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
asali na mkate wa mama abduli vimeanza kufanya kazi kwa wajumbe,ila mwisho wa siku Lisu ataibuka kidedea
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
 

Attachments

  • IMG-20250108-WA0053.jpg
    IMG-20250108-WA0053.jpg
    151.6 KB · Views: 2
Upumbavu ndipo unapoanzia hapa kwa watetezi wa Mbowe, ushahidi wa kwanza wa rushwa ni wa mazingira kwa sababu haitolewi hadharani. Ghafla Mbowe ana hela nyingi kwenye harakati za uchaguzi wakati chama kilikuwa hakina hela?
Mbowe huiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha kwa kujidai alikopesha chama sasa anarejesha pesa zake, hutengeneza madeni hewa ili kuharalisha wizi wake, mbowe ni mwizi balaa, pesa aliyoiba chadema ndiyo anazitumia kumdhoofisha Lisu
 
Nenda mahakamani ufungue mashtaka ya kuwa Mbowe ni mla rushwa, acha upuuzi wako kama huna ushahidi, mazingara sio ushahidi, kumbe wewe kiazi kabisa
Wewe chawa ni sehemu ya wizi wa mbowe na wewe ndiyo mnufaika wa pesa za wizi, uletewe ushahidi hapo ghetto kwa mbowe utakubali? Wewe ulishajitoa fahamu zote umekariri Mbowe ni mungu na malaika wako hata uletewe ushahidi Mbowe yupo gheto na Rushwa ya ngono utakataa
 
Hawa wajinga wamezoea kulindana, hata kama kuna uovu umefanywa na viongozi wanataka mkae kimya kama CCM. Tofauti ya Lissu hakopeshi wala kulinda ujinga
Mbowe alizoea chaguzi zote anapita bila kupingwa, safari hii kaona cha mtema kuni kaamua kuwa mwimba Taarabu na masimango, Mbowe kaishiwa sera kabakia kulalama hovyo na kugawa pesa kwa chawa wamtetee mitandaoni
 
Mbowe alizoea chaguzi zote anapita bila kupingwa, safari hii kaona cha mtema kuni kaamua kuwa mwimba Taarabu na masimango, Mbowe kaishiwa sera kabakia kulalama hovyo na kugawa pesa kwa chawa wamtetee mitandaoni
Sultan Mbowe amechagua njia mbovu sana ya kumalizia mwendo
 
Chawa wala pesa za mbowe, chawa wanufaika wa wizi wa mbowe sasa wanamshukuru Lisu kwa kumtia pressure Mbowe hadi mbowe kuacha uchoyo ubinafsi na kuwagawia pesa wamtetee mitandaoni, Mbowe sasa ni buzi la chawa wanamchuna ile mbaya, wanamwombea lisu azidi kumchachafya ili waendeleee kula pesa za mbowe ingawa ni za wizi toka chadema
 
Back
Top Bottom