Habari.
Haya ni mambo baadhi niliyonifunza kupitia ulokole au kuokoka. Kiukweli miaka 3 iliyopita nilikuwa mkristo mzuri sana na muumini mzuri ninayefuata misingi ya kiimani ya kipentekoste au ulokole.
Mungu anisamehe maana now natimiza mwaka sijui mlango wa kanisa yalinisubu ni mengi ila nimekua ni mtu ninayemuomba Mungu ,nasoma biblia na niaduatilia mahubiri tu kwa Tv ila sio kwenda kanisani.
Nini kilibisibu mpaka nikawa hivi.
1.Baadhi ya waumini wanaitwa walokole ni watu wanaondekeza majungu,kusemana ,umbea na hili nimeliona hadi kwa viongozi wakubwa wa kanisa.
2.Walokole wengi ni watu wanaopenda Mapenzi kiukweli katika miaka ya mwanzo ya ulokole Nikiri nilimuona Mungu kabisa kupitia kusali na kushiriki ibada ila nilipoanza kujichanganya nikajikuta na date na wanakwaya ,mashemasi hadi wake za watu nafanya nao mapenzi na tukiwa kanisani tunakuwa kama waumini wa zuri hii iliniumiza sana.
3.Walokole wengi hawana hali ya kusaidiana nimepata majanga mengi nikiwa nasali niliishia kuombea ila tofauti na watu walokole wanaowaita wa dunia wamenipiga tafu sana hadi hapa nilipo.
4.Walokole ni wabinafsi sana ngumu sana kuwakuta kwa sherehe ,misiba kwa kigezo cha kusema watu wa Dunia ambao hawajaokoka.
5.Baadhi ya makanisa hayakufundisha katika kutafuta maisha zaidi ya kukutana utumike kwa Mungu Muda wote pasipo na kupata hata muda kidogo wa kujitafutia ridhiki.
Kiukweli siusemi ulokole kwa ubaya kuna faida nyingi nimezipata.
Ila nimejikuta nimeacha kabisa kwenda kusali ila nina imani nitarudi tena sijui ni lini.
Haya ni mambo baadhi niliyonifunza kupitia ulokole au kuokoka. Kiukweli miaka 3 iliyopita nilikuwa mkristo mzuri sana na muumini mzuri ninayefuata misingi ya kiimani ya kipentekoste au ulokole.
Mungu anisamehe maana now natimiza mwaka sijui mlango wa kanisa yalinisubu ni mengi ila nimekua ni mtu ninayemuomba Mungu ,nasoma biblia na niaduatilia mahubiri tu kwa Tv ila sio kwenda kanisani.
Nini kilibisibu mpaka nikawa hivi.
1.Baadhi ya waumini wanaitwa walokole ni watu wanaondekeza majungu,kusemana ,umbea na hili nimeliona hadi kwa viongozi wakubwa wa kanisa.
2.Walokole wengi ni watu wanaopenda Mapenzi kiukweli katika miaka ya mwanzo ya ulokole Nikiri nilimuona Mungu kabisa kupitia kusali na kushiriki ibada ila nilipoanza kujichanganya nikajikuta na date na wanakwaya ,mashemasi hadi wake za watu nafanya nao mapenzi na tukiwa kanisani tunakuwa kama waumini wa zuri hii iliniumiza sana.
3.Walokole wengi hawana hali ya kusaidiana nimepata majanga mengi nikiwa nasali niliishia kuombea ila tofauti na watu walokole wanaowaita wa dunia wamenipiga tafu sana hadi hapa nilipo.
4.Walokole ni wabinafsi sana ngumu sana kuwakuta kwa sherehe ,misiba kwa kigezo cha kusema watu wa Dunia ambao hawajaokoka.
5.Baadhi ya makanisa hayakufundisha katika kutafuta maisha zaidi ya kukutana utumike kwa Mungu Muda wote pasipo na kupata hata muda kidogo wa kujitafutia ridhiki.
Kiukweli siusemi ulokole kwa ubaya kuna faida nyingi nimezipata.
Ila nimejikuta nimeacha kabisa kwenda kusali ila nina imani nitarudi tena sijui ni lini.