Hamna mgahawa wa hadhi unayoiongelea unao uza Maji ya BUKU (tena Hill Water)
Sina uhakika kama unaongelea watu wengine,naamini hii imekukuta wewe na si kama usemavyo
Umetolewa out umenunuliwa maji ya buku (jifunze kuwa na moyo wa shukurani) hujui baada ya kunywa
Hayo maji ungepelekwa wapi,usi finalize kila tukio linalokutokea maishani mwako kuwa ndio "MWISHO"
Wajuba watoa surprise za ma iphone macho ma 3 na ma surprise ya mandinga kwa manzi zao huwa they act
A bit crazy,usipokua mpole na mnyenyekevu unaweza jikuta umepiga teke Bonge moja ya surprise iliyokua imeandaliwa
kwa ajili yako,Ukiwa mwenye Moyo wa shukurani na wa kuthamini mtu anachokupa bila kujali thamani yake Kuna siku
utadondokewa na Surprise Upasuke macho au uishie kusema O M G cause i know hujawahi shangazwa wewe,shauri lako.