Kidume kuwa m'mbea ndio tabia za kiduanzi.
Na wabongo hatuendelei kwasababu ya kufuatilia maisha ya watu...
Hakuna linalokusu wa unalojua lolote kuhusu hao wapenzi... Wewe umewaona tu na uka conclude kuwa hawana madusco..
Acha umbea mkuu.,,uishi maisha marefu.