jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Oya huyo hata mi nimeshamjua Halafu anajifanya anapost mathread kibao humu JF kila siku kumbe libaba kabisa na midevu yake😁😁Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
Yes wewe upo na mimi... nahisi ni huyo huyoOya huyo hata mi nimeshamjua afu anajifanya anpost mathread kibao humu jf kila siku kumbe libaba kabsa na midevu yake😁😁
Mimi ni Simba, lakini hiki walichokufanyia siyo kabisa😂😂.Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
🤣🤣🤣 Acha kabisaMimi ni Simba, lakini hiki walichokufanyia siyo kabisa😂😂.
Wamekukula kama ngapu mkuu? Ukute ulishanunua ma condom!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya huyo hata mi nimeshamjua afu anajifanya anpost mathread kibao humu jf kila siku kumbe libaba kabsa na midevu yake[emoji16][emoji16]
Ao wanaume hawana tofauti na Mpwayungu Village ambaye kucha kutwa anatamani kuwa mwanamkeHabarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
Hivi jamaa anajisikiaje mwanaume mzima kufanya ujinga unaopelekea kumjengea picha kuwa ana tako, hips na papuchi hadi kununuliwa condom?🤣🤣🤣 Acha kabisa
Mimi nadhani ni tabia ya utapeli ambayo watz kwa ujumla wetu inatuandama kwa sasa, utapeli kwa namna zote.Hao watakua ni wanaume walioleft group.
Mwanaume rijali hawezi fanya huo upuuzi
Na wenye tamaa watatapeliwa sanaMimi nadhani ni tabia ya utapeli ambayo watz kwa ujumla wetu inatuandama kwa sasa, utapeli kwa namna zote.
NakaziaHao watakua ni wanaume walioleft group.
Mwanaume rijali hawezi fanya huo upuuzi
Na hivi wanaume wa tz tunavyopenda "ngono mserereko" tutaumizwa sana. Siku zote tapeli anaangalia eneo ambalo ni rahisi mtu kuingia mzima mzima.Na wenye tamaa watatapeliwa sana
Hii hainashida bana...naona ni shida kujifanya manziSi bora hivyo.... Kuna wengine hawajifanyi wanawake, wanakuja hivyo hivyo kuomba hela
Ina shida.... Kwanini uombe hela kwa mtu usiemfahamu mtandaoni?? Atakuonaje....Hii hainashida bana...naona ni shida kujifanya manzi