Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Kama ana sababu ya msingi unamsaidia tu totooSi bora hivyo.... Kuna wengine hawajifanyi wanawake, wanakuja hivyo hivyo kuomba hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana sababu ya msingi unamsaidia tu totooSi bora hivyo.... Kuna wengine hawajifanyi wanawake, wanakuja hivyo hivyo kuomba hela
Mtaniiii taratibuuu bas nawee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na haishangazi kukuta huyo jamaa akija jukwaani anawapaka mbaya wanawake waomba hela.
Hapana aisee..... Haijakaa sawaKama ana sababu ya msingi unamsaidia tu totoo
Sema kuaminiana ndio tatizo hapo, utapeli mwingi nowdaysHapana aisee..... Haijakaa sawa
Wewe si unaniamini😂 kwahiyo nikija PM utanisaidia....😂Sema kuaminiana ndio tatizo hapo, utapeli mwingi nowdays
Gongowazi tangu lini ukawa na elements za Mnyama?Mimi ni Simba, lakini hiki walichokufanyia siyo kabisa😂😂.
Wamekukula kama ngapi mkuu? Ukute ulishanunua na condom!
Wewe nakuamini kabisa, hata kwangu nitakukaribisha mbona 😅Wewe si unaniamini😂 kwahiyo nikija PM utanisaidia....😂
Pole sana kijana, kutokua na Tamaa na ugwadu wa kizembezembe kumekusaidia sana kuepuka janga hili. Sasa kijana, ili tuwasaidie hao midume jike si uwaorodheshe kama ile orodha ya mafisadi ya Dr.slaa pale Mwembe Yanga -Tandika? Na hii pia itadhihirisha kweli na wewe ni Mwanaume na huendeshwi kwa hisia bali facts. Hii itasaidia sanaHabarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa .... Leo naomba niseme ivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yani ni mshkaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale ..... thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike ..... kwanza unanzaje kama shida ni pesa c uombe members tutakupiga tafu kuliko iviii🤔🤔
Weeeh sema haki ya nani!!Mvutoless natongozwaje mimi?
Hakyanani tena nakuambia.😀Weeeh sema haki ya nani!!
Ngoja nije nikutapeli.Hakyanani tena nakuambia.😀
Siyo hivyo tu..Na haishangazi kukuta huyo jamaa akija jukwaani anawapaka mbaya wanawake waomba hela.
Kumekuchaaa Na makuchaa yakeeeeeeee!!Haya kumekuchaaaa sasa, JF ktk ubora wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]