Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Jinga sana hili jamaaa😂,
Kun siku et linaniambie nimsaidie elfu 5 atume pesa ya vikoba anadaiwa hvhv nkamwambia lete namba 😁😁akanipa jina la kiume nikashtuka😁😁 nkamwambia ntakutmia badae, hali ilivo ngumu afu nitapeliwa na dume jenzangu hapana kwakweli bora anitapel mtot wa kike haitoniuma sana
 
[emoji23][emoji23][emoji3526][emoji3526][emoji3526]! kiranga komaa mimiii [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]kwanza nakaribia kusutwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]!!
Kusutwaa na naniii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kushakuchaaa kitrambooo 😂😂!

Ni pm na hekaheka zakeeeee khakhakhaaaa.... Nacheka kama mazuri vilee!!
Hivi unajua 😂😂😂🤓🤓🤓😂😂😂
Mwanaume anapojifanya yee wakike.. ana anakua anajua udhaifu wake so anakomba serious 😂😂😂😂🤓🤓🤓🤓🤓 jamani weeeh daah
 
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.

Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii🤔🤔
Pole mwana 😅😅
 
Hivi unajua 😂😂😂🤓🤓🤓😂😂😂
Mwanaume anapojifanya yee wakike.. ana anakua anajua udhaifu wake so anakomba serious 😂😂😂😂🤓🤓🤓🤓🤓 jamani weeeh daah
Si mnajifanya mnashupaza shingoo ndrioo kushobokea vitobo ndio mkomeeeeee!!😂!🤣🤣🤣!!

Ankoli akee YE67NBE njoo utanue mapafu hukuuii🤣
 
Kun siku et linaniambie nimsaidie elfu 5 atume pesa ya vikoba anadaiwa hvhv nkamwambia lete namba [emoji16][emoji16]akanipa jina la kiume nikashtuka[emoji16][emoji16] nkamwambia ntakutmia badae qmmke hali ilivo ngumu afu nitapeliwa na dume jenzangu hapana kwakweli bora anitapel mtot wa kike haitoniuma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu miee, woiiiiiiiih
 
Nawee uliwahi kupigwaa huko PM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁 sitapeliwigi kizembezembe kiasi hicho aisee mm nltaka nambaake ili nione usajili wake jina litatoka la kike au kiume nilivoona la kiume tu nkashtuka huu mchezo mchafu kama wa sisiemu mwaka 2015 nkaanza kumpga kiswahili nashangaa anansumbua kila siku sijui aliniona mm na minyege ya ovyo au nna hela
 
Si mnajifanya mnashupaza shingoo ndrioo kushobokea vitobo ndio mkomeeeeee!!😂!🤣🤣🤣!!

Ankoli akee YE67NBE njoo utanue mapafu hukuuii🤣
😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣, nimeiona sasa hivi auntiee mzuri embu ngoja nisome comments,


Niliwahi kupost thread ya hivi watu wakanijia juu, acha nione mwisho wake 🤣🤣🤣🤣
 
[emoji16][emoji16] sitapeliwigi kizembezembe kiasi hicho aisee mm nltaka nambaake ili nione usajili wake jina litatoka la kike au kiume nilivoona la kiume tu nkashtuka huu mchezo mchafu kama wa sisiemu mwaka 2015 nkaanza kumpga kiswahili nashangaa anansumbua kila siku sijui aliniona mm na minyege ya ovyo au nna hela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka km chiziii. Woiiiiiih
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom