Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiwastuee sasa nawee jomoneee.[emoji23][emoji23][emoji23]
they say, when the deal is too good, think twice..!!
Ila wanaume baadhi yenu mnahadaika kirahisi mno, na mtapigwa sana humu ndani walaqhi' nawaambia, humu midume jike imejaa inabadili tu mwandiko na namna ya kucheka, na mkiona misammbwanda kwenye avatar mnajazana piyemu kama maandazi..!!
Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokeiMkuu umepigwa ngapi na hilo gofu😂😂😂
Nani huyo 🤓🤓😂😂😂😂😂😂😂🤓Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
Ndiyo maana nikatumia neno 'baadhi'...!!😂😂Matusi haya binti..sio wote tunapenda matacco makubwa ujue
Pole ya nini jamani kwani nimetaoeliwa..?😅😅wkt mm mwenyew tapeli na uyo mwenyew ananiita mbabaifu kwa kuwa skuwah kumtumia kila sku nampga soundfundi bishoo 🤓🤓😂😂😂
Pole sana
Huyo huyo kiungo .....nlimtafta kwa simu nyingine ikawa happkei .... njo pm nikutumie namba zake then unipe mrejesho kama atapokeaNani huyo 🤓🤓😂😂😂😂😂😂😂🤓
Ulojaribu kupiga kwa namba nyingine
Wanajifanya kukaza mafuvuu ndio yanawatokea hayaa!!😅😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣, nilishawaandikia thread kabisa tatizo hawafuati miongozo ya humu ndani 😜😜😜😆😆
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!!!!Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
😆😆😆😅😅😅😅, aiseee ngoja nione mwisho wake tu,Wanajifanya kukaza mafuvuu ndio yanawatokea hayaa!!
Nasemajeee Wakomeeeee🗣️🗣️🗣️🗣️
Sema huu uzi wa kijasusi sana, umetuumbua tunao fukuzia PM 🤣🤣🤣 dahWanajifanya kukaza mafuvuu ndio yanawatokea hayaa!!
Nasemajeee Wakomeeeee🗣️🗣️🗣️🗣️
😅😅😅😅 dah! Nakosa msemoo.. kweli naingizwa kingi hivi hivi hivi😂😂😂Ulimpigia na kuona sura mkuuu,una uhakika na unalolisema?
Jamaa anujua saikolojia kinoma,utaskia "kama huniamini tuvideocall" ukisema "powa" utaskia "sasa me bando sina basi nitumie bando" sasa na wewe na zile papala zakutaka kuona toto huyo mbio mbio unatuma hela😂
nakazia....Ila wanaume baadhi yenu mnahadaika kirahisi mno
Ukisikia yallaaaaaaaaaaaaaaaaa...🤣🤣🤣🤣!Sema huu uzi wa kijasusi sana, umetuumbua tunao fukuzia PM 🤣🤣🤣 dah
Apia? Hahahh🤣🤣🤣 sijawahi hata kumfuata mwanamke yeyote humu PM
Umevukaa viwangoo vya kuruka utapeliii.[emoji23][emoji23][emoji23]Ulimpigia na kuona sura mkuuu,una uhakika na unalolisema?
Jamaa anujua saikolojia kinoma,utaskia "kama huniamini tuvideocall" ukisema "powa" utaskia "sasa me bando sina basi nitumie bando" sasa na wewe na zile papala zakutaka kuona toto huyo mbio mbio unatuma hela[emoji23]
Umepigwaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] dah! Nakosa msemoo.. kweli naingizwa kingi hivi hivi hivi
Ila ulikua unakalibia kuingia kwenye mfumo yaani systemPole ya nini jamani kwani nimetaoeliwa..?😅😅wkt mm mwenyew tapeli na uyo mwenyew ananiita mbabaifu kwa kuwa skuwah kumtumia kila sku nampga sound