Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23]
they say, when the deal is too good, think twice..!!

Ila wanaume baadhi yenu mnahadaika kirahisi mno, na mtapigwa sana humu ndani walaqhi' nawaambia, humu midume jike imejaa inabadili tu mwandiko na namna ya kucheka, na mkiona misammbwanda kwenye avatar mnajazana piyemu kama maandazi..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiwastuee sasa nawee jomoneee.
 
Mkuu umepigwa ngapi na hilo gofu😂😂😂
Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
 
Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
Nani huyo 🤓🤓😂😂😂😂😂😂😂🤓
Ulojaribu kupiga kwa namba nyingine
 
Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!!!!
 
😂😂😂Ulimpigia na kuona sura mkuuu,una uhakika na unalolisema?

Jamaa anujua saikolojia kinoma,utaskia "kama huniamini tuvideocall" ukisema "powa" utaskia "sasa me bando sina basi nitumie bando" sasa na wewe na zile papala zakutaka kuona toto huyo mbio mbio unatuma hela😂
😅😅😅😅 dah! Nakosa msemoo.. kweli naingizwa kingi hivi hivi hivi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ulimpigia na kuona sura mkuuu,una uhakika na unalolisema?

Jamaa anujua saikolojia kinoma,utaskia "kama huniamini tuvideocall" ukisema "powa" utaskia "sasa me bando sina basi nitumie bando" sasa na wewe na zile papala zakutaka kuona toto huyo mbio mbio unatuma hela[emoji23]
Umevukaa viwangoo vya kuruka utapeliii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom