Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hatari sana mdogo wangu. πSiyo hivyo tu..
Huyo huyo jukwaani ana comments kibao za kujisifia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana mdogo wangu. πSiyo hivyo tu..
Huyo huyo jukwaani ana comments kibao za kujisifia...
Mshenzi huyu michezo hii walikua wanafanyaga wenzie fb kitambo na hicho mdo walikua wanapgwa hukoalonitunia namba ila akawa apokei simu anataka tuchart tu π π .. nikaona hapa sipo penyewe
π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu miee, woiiiiiiiih
Utavunja mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka km chiziii. Woiiiiiih
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni balaa sana Dada....Hatari sana mdogo wangu. [emoji23]
Niliponea tundu la sindaboπNa wenye tamaa watatapeliwa sana
π π π alafu wamekuwa wengi kinomaa na wanaomba hela ndogo ndogo tu buku ten, butu tano.. ingawa kuna mshenzi mmoja alinipiga buku mbili yanguMshenzi huyu michezo hii walikua wanafanyaga wenzie fb kitambo na hicho mdo walikua wanapgwa huko
Hamna mkuu π πZa kichwaπππ
Matusi haya binti..sio wote tunapenda matacco makubwa ujueπππ
they say, when the deal is too good, think twice..!!
Ila wanaume baadhi yenu mnahadaika kirahisi mno, na mtapigwa sana humu ndani walaqhi' nawaambia, humu midume jike imejaa inabadili tu mwandiko na namna ya kucheka, na mkiona misammbwanda kwenye avatar mnajazana piyemu kama maandazi..!!
Sio kweli mkuu! Sina mazoea nae...Aaa wapi mlipiga convo sana kwenye uzi flani akawa anasema ndio anatoka kazini
ππππ π π alafu wamekuwa wengi kinomaa na wanaomba hela ndogo ndogo tu buku ten, butu tano.. ingawa kuna mshenzi mmoja alinipiga buku mbili yangu
π π dah tatzo ajira hakuna watu wanabuni mbinu za kiboyaπ π π alafu wamekuwa wengi kinomaa na wanaomba hela ndogo ndogo tu buku ten, butu tano.. ingawa kuna mshenzi mmoja alinipiga buku mbili yangu
Tulia basiπUnakuja kama dume au jike?
""""" Inabadili tu mwandiko na namna ya kucheka"""" duuuh wanachekaje ππππππππππ
they say, when the deal is too good, think twice..!!
Ila wanaume baadhi yenu mnahadaika kirahisi mno, na mtapigwa sana humu ndani walaqhi' nawaambia, humu midume jike imejaa inabadili tu mwandiko na namna ya kucheka, na mkiona misammbwanda kwenye avatar mnajazana piyemu kama maandazi..!!
Waache tu maan utaanza kubehave kam mtot wa kike na utakua ushazoea vya bure wahuni watawavunjia yai donati hilo waache walete tamaa tusasa wataliwa siku moja π π wengine hawana mchezo mchezom .. kidume kujifanya mwanamke rinda lipo tayari kutumika hilo
π π π π π π π€£π€£π€£π€£π€£π€£, nilishawaandikia thread kabisa tatizo hawafuati miongozo ya humu ndani πππππKushakuchaaa kitrambooo ππ!
Ni pm na hekaheka zakeeeee khakhakhaaaa.... Nacheka kama mazuri vilee!!
Kwa kweliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utavunja mbavu