Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.

Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii🤔🤔
Tuma na yakutolea😊😊😊

Waswahili husema kuzaliwa mjini ni FORM SIX...
 
Huyo ni figo76 anakufata pm then anajibebisha halafu papo kwa papo anaomba hela aunge bando ety sijiksiii kuchati uku nataka kichati wasup.Sasa mimi nikasema leta namba nikaicheki Mpesa jina Felix victor nikaja kucheki wasup aina ya profile na vibiashara ameorodhesha pale kwenye whatsappbusiness ni nadra sana kukuta mwanamke anafanya hizo biashara badae akatuma mapicha amedownload insta kwenye account moja hv ya mdada.

Leo leo leo badamu batamwagika[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom