Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaKuombe wanaume wenzie sio issue kwasababu tunajua kukwama kupo siku zote kwenye utafutaji, ila swala la kuja kama wakike ni ushenzi mkubwa kama si dalili za kuwa papai.
😂😂😂😂Nina PhD kwenye hiyo tasnia na unajua kabisa, kuingia mkenge isingekuwa kirahisi vile[emoji23][emoji23]
Ukalime mpunga tu ndugu"Usietake kufanya kazi huko Uyole"
Unanisema ujuee 😂😂😂😂!!
Sio vizuri mambo yenu ya PM huko Kuja kuyaweka hadharani ilibidi muyamalize wenyewe mtukanane huko hukoHabarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii🤔🤔
Una akili sana ujuee ulitakiwa uzaliwe mambele hukooo!!😁!Ukalime mpunga tu ndugu
Wanaume wengi hawana mahaba Wala mapenz hayo ambayo sie tunadhania Sasa ukiongezea na kujifanya hujielew unaeumia ni mwanamke
Sifanyi hiyo kaziBana siukumbuki eti, si unajua nishazeeka mie
Em niletee tena sababu najua copy bado unazo 🤣🤣
National Anthem anabisha anasema ni ke. Vipi ulifanikiwa kupiga video call?Hahaha, hivi inawezekanaje?
Ukiangalia uzi wangu hakuna ushahidi wa wazi nlio uweka hapa ...pili lengo nikuzuia tabia kama hizi za kitapeli zisiendelee hakuna cha siri hapa .... na watu wenye tabia kama hizi wache mara mojaSio vizuri mambo yenu ya PM huko Kuja kuyaweka hadharani ilibidi muyamalize wenyewe mtukanane huko huko View attachment 2647814
Eeh jamani usilipize baya kwa bayaSifanyi hiyo kazi
Kama ambavyo wewe hukunipigia nilog in jf kuna umbea
Kwahiyo watu wasivumbue uovu? Au ndio wewe mhusika?Ni kosa kujadili hadharani mambo yenu binafsi mliojadiliana PM
Kabisa.Sio vizuri mambo yenu ya PM huko Kuja kuyaweka hadharani ilibidi muyamalize wenyewe mtukanane huko huko View attachment 2647814
Uovu gani?? Uovu wa malaya muuzaji & mnunuaji?Kwahiyo watu wasivumbue uovu? Au ndio wewe mhusika?
Angeongea kimafumbo ausio!!Ni kosa kujadili hadharani mambo yenu binafsi mliojadiliana PM
Wa huyo papai mwenye kujifanya keUovu gani?? Uovu wa malaya muuzaji & mnunuaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tujibane bane ivoivoo banaaa!!