Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ungejichanganyaaa nawe ungeliwaaaaaπ!!Weee bado kidogo tuu alaaah ππππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejichanganyaaa nawe ungeliwaaaaaπ!!Weee bado kidogo tuu alaaah ππππππππππππ
πππMi ni chizi kwa ajili ya Aaliyyah ππ€£View attachment 2647850
Ndio, unafikiri ni ke kumbe dumeUshawahi jichanganya nini ππππ
Ahahahahahahah mi changu akiendagi for nathingUngejichanganyaaa nawe ungeliwaaaaaπ!!
Kumbe nawewe huvumi lakini umooo ankoooπ!!Ahahahahahahaππππππ
Yaaani mii ndo najichanganyaga sana antiel wee acha tuu sumbua sana PM πππ
Ahahahahahah ety dume....ππππNdio, unafikiri ni ke kumbe dume
Wew unaonekana mjanja πnakumbukaga Uzi wa kumuona umpendaye kimijiuza πππhatar sana mnatuongezea siku za Kuishi Kwa kucheka loohπkwanza hata wangekua madem mi sipend madem wa namna hiyo
Kwani tatizo lipi Poor Brain ππ€£Intelligent businessman wee ndo uliandika comment upo single
Anakuwa na element za ushogaAhahahahahah ety dume....ππππ
Hivi mwanaume kama huyo unamchukuliaje aiseeee
Dah π€£ππ€£π, I mean no malice to nobodyFungua uzi πππ
Natania
Hapana nauliza tuu uo usingle sasa ππππKwani tatizo lipi Poor Brain ππ€£
Nini sasa πππππ€π€π€π€πππDah π€£ππ€£π, I mean no malice to nobody
πWeee shindwaaaFungua uzi πππ
Natania
Hamna bana usiwaseme hivo ..Anakuwa na element za ushoga
Nimekupata ila staki utoke kwenye point yangu kuwa hawa watu kwa sasa wamezidi nivema tukawaweka hadharani lengo ni kukomesha vitendo kama ivi ..... tutawaficha mpaka lini wakati ukisoma tu comment watu wamesha funguka inamana wanajulikana .....mficha maovu mauti humumbua usijaribu kuwa tetea wapubavu kwa mwamvuli wa kulinda faragha (privacy) zao nafasi kama hii inapo tokea wapigwe nyundo tuHukutakiwa kumtaja... Wewe ungesema tu tabia flani sio nzuri sasa huko mbele watu wanaanza kumtaja wamejuaje kama hujawaambia PM sisi ni wanaume tuwe na kaba inabidi muwe mnajadili tu bila kumrelease mtu au kuonyesha ishara yoyote Ile itakayofanya member wamjue.
MIMI hii account yangu nilikuta imeunganishwa na account ambazo hata si zangu mpaka nililalamika jamiiforum lakini wakasema eti fake account zangu zimeunganishwa Kati si kweli. Nilikuta ujumbe wa kutisha watu wamepeana mawasiliano, wanamipango ya hatari yakuhatarisha usalama wao naniwatu ambao sikuzania wana mambo hayo ila nipo kimyaaaaaa kama sijui kitu because iam matured enough penye mengi Kuna mengi
Pepo pepo pepo.... Lishatoka puuuuuh kemea πππ€π€π€π€πWeee shindwaaa
Heheeee hujaakuta wanaogawa pesa za asali π₯³π«£π€Nilikuta ujumbe wa kutisha watu wamepeana mawasiliano, wanamipango ya hatari yakuhatarisha usalama wao naniwatu ambao sikuzania wana mambo hayo ila nipo kimyaaaaaa kama sijui kitu because iam matured enough penye mengi Kuna mengi
Bora uende kiume, ueleze changamoto zako kuliko kujigeuza keHamna bana usiwaseme hivo ..
Ujue hali ngumu nae ndo anapopatia hukoπ€π€ππππ
Yan shem darlin kumbe ulitakwa kuwekwa site kimya kimya π[emoji1]