Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Ndo nlichokua nafanya mm nlikua namchaftsha maana yy ndo unakuta anakuanza ankuzuga afu anakumbushia hela na mm naenda nae hvhv tu kibakubaku nambambia kwa nyuma πŸ˜πŸ˜…
Yaaani huyo ungemletea ugai gai aiseeeeeeeee..... Kuna chart flani kama ni mtoto wa kiume lazima ajaeee hasira πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tena alinipigia zile videocall pendwa, unazifahamu? UmenianzaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜
huyu dogo alinipata aisee πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
upwiru mmbayaaa.. mbinu zangu zote za kijeshi niliweka kandooo...

nimeanza unga doti kwanza aliacha kupokea simu ghalfa . alinipa namba nne 🀣🀣🀣... nampigia hapokei uzuri situmii namba local kwenye harakati za pimbi
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚! ! Ulipoamkia tangu jana ankol akeeπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜!!
Yaaani naona huku kuna watu wanalengwa hapa kabisa daaah.....

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanaweka picha za mapaja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mwenyewe ilibaki kiduchuuu akulizeee huyo kidney.

Ila JF mnalizwa sanaa, wala sio siri hapa mnajifanya kukataa ila ukweli mnapigwa mno huko piemuni.
[emoji1][emoji1]

Ukiwa mjanja kwenye hii tasnia, kitu cha kwanza cha kushtua ni kuona mwanamke eti amekufata yeye mwenyewe PM bila kuwa na mazoea nae.

We uliona wapi mwanamke na pride yake akaja kujitongozesha kwa mwanaume ambae hamjui? Ni rahisi mwanaume kufanya hivyo ila sio mwanamke.

Ukiingia mkenge kwa Id ya kike humu maana yake huko nje huna options, kitu ambacho si kweli.
 
Ndo haohao ukisoma tu muandiko unajua huyu mwanaume huyu, sema kuna mafala wanashoboka nao kinoma dawa ni kuwaacha wapigwe akili ikae saw
Kuna mmoja alisema anatafuta mume.. yaaani alishusha paragraph ka zote ila watu wakawa kama wamestukia deals hivi ..

Ila nahisi kweli alikua wa kiume maan kuna kitu niliandika kilimkera sana aiseeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaaani naona huku kuna watu wanalengwa hapa kabisa daaah.....

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wanaweka picha za mapaja
Inasikitisha sana!!
Sema picha hazina shida shida ni utapeliii!!!!

Hapo kwenye picha umenifungua akili aseeh!!
 
Wee ni mwehu ujuee khakhakhaaaa!!!
Mi ni chizi kwa ajili ya Aaliyyah πŸ˜‚πŸ€£
FB_IMG_16841964674363488.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom