Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Ana vurugu huyoπππ€£π€£π€£π€£ππ! ! Ulipoamkia tangu jana ankol akeeππππππ!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana vurugu huyoπππ€£π€£π€£π€£ππ! ! Ulipoamkia tangu jana ankol akeeππππππ!!
Yaaani huyo ungemletea ugai gai aiseeeeeeeee..... Kuna chart flani kama ni mtoto wa kiume lazima ajaeee hasira πππππππNdo nlichokua nafanya mm nlikua namchaftsha maana yy ndo unakuta anakuanza ankuzuga afu anakumbushia hela na mm naenda nae hvhv tu kibakubaku nambambia kwa nyuma ππ
huyu dogo alinipata aisee π π πTena alinipigia zile videocall pendwa, unazifahamu? Umenianzaππππ
Wee ni mwehu ujuee khakhakhaaaa!!!Hata ukikataa, nakung'ang'ania Kama huyo mdada Aaliyyah View attachment 2647847
π€£π€£π€£DahHata ukikataa, nakung'ang'ania Kama huyo mdada Aaliyyah View attachment 2647847
Yaaani naona huku kuna watu wanalengwa hapa kabisa daaah.....π€£π€£π€£π€£ππ! ! Ulipoamkia tangu jana ankol akeeππππππ!!
Ndo haohao ukisoma tu muandiko unajua huyu mwanaume huyu, sema kuna mafala wanashoboka nao kinoma dawa ni kuwaacha wapigwe akili ikae sawaMbona kama kuna watu unawasema hapa.....
Hio picha Nimechekaaa balaa!!π€£π€£π€£Dah
Hongera nilijua naw umepigwa πAah siwez kupigwa kirahisi hivyo kwanza hachukui hata sekunde mwanaume akijidai dem namshtukia chap
Yani mm had nimekaa chini kwanza πmjinga huyu atatuvunja mbavuHio picha Nimechekaaa balaa!!
kwanza hata wangekua madem mi sipend madem wa namna hiyoHongera nilijua naw umepigwa π
[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mwenyewe ilibaki kiduchuuu akulizeee huyo kidney.
Ila JF mnalizwa sanaa, wala sio siri hapa mnajifanya kukataa ila ukweli mnapigwa mno huko piemuni.
Kuna mmoja alisema anatafuta mume.. yaaani alishusha paragraph ka zote ila watu wakawa kama wamestukia deals hivi ..Ndo haohao ukisoma tu muandiko unajua huyu mwanaume huyu, sema kuna mafala wanashoboka nao kinoma dawa ni kuwaacha wapigwe akili ikae saw
Inasikitisha sana!!Yaaani naona huku kuna watu wanalengwa hapa kabisa daaah.....
πππππ Wanaweka picha za mapaja
Weee bado kidogo tuu alaaah ππππππππππππkwanza hata wangekua madem mi sipend madem wa namna hiyo
AhahahahahahaππππππInasikitisha sana!!
Sema picha hazina shida shida ni utapeliii!!!!
Hapo kwenye picha umenifungua akili aseeh!!
Ushawahi jichanganya nini ππππUko sahihi kabisa