Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
AhahahahahahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yaaani mii ndo najichanganyaga sana antiel wee acha tuu sumbua sana PM πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe nawewe huvumi lakini umooo ankoooπŸ˜‚!!
At your own risk ni hatareeee
 
kwanza hata wangekua madem mi sipend madem wa namna hiyo
Wew unaonekana mjanja πŸ˜€nakumbukaga Uzi wa kumuona umpendaye kimijiuza πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€hatar sana mnatuongezea siku za Kuishi Kwa kucheka loohπŸ˜€
 
Nimekupata ila staki utoke kwenye point yangu kuwa hawa watu kwa sasa wamezidi nivema tukawaweka hadharani lengo ni kukomesha vitendo kama ivi ..... tutawaficha mpaka lini wakati ukisoma tu comment watu wamesha funguka inamana wanajulikana .....mficha maovu mauti humumbua usijaribu kuwa tetea wapubavu kwa mwamvuli wa kulinda faragha (privacy) zao nafasi kama hii inapo tokea wapigwe nyundo tu
 
Nilikuta ujumbe wa kutisha watu wamepeana mawasiliano, wanamipango ya hatari yakuhatarisha usalama wao naniwatu ambao sikuzania wana mambo hayo ila nipo kimyaaaaaa kama sijui kitu because iam matured enough penye mengi Kuna mengi
Heheeee hujaakuta wanaogawa pesa za asali πŸ₯³πŸ«£πŸ€­
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…