Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah!.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Umezidiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah!.
Eeeeh SI ungempigia ukasikia sauti?😅😅😅 hapana alipata ka buku mbili tu ka vocha .. baada ya hapo nikatia mgomo.. mala anataka KFC mala ooh! nikawa naumbia niambie mahala popote nikufate anakwepaaa.. nikaona chengaa hii kama chengaa zingineee akala na block
😅😅😅😅 na bahati mbaya nipo na wife .. alafu karibu sana na hapo.. nisije muuzi bureeeAnkoliii nifatee hapa Mawasilianoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiiiiii ulipigwa ya vochaaaa daaah
Kikao cha wanaume hiki. Sijui unafanya nini humu ndani.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Umezidiiiiiii
Mbinu ya kwanza ilikubali . kwanza sikutumia Local call.. nilimpigia kwa namba ya nje.. nikasikia demu kabisa na yupo kwenye mvt.. akatuma picha nyingi nikawa zote na mashaka nazo hazina uwiano na zingine nilisha ziona mahala, kucheki namba zake za simu alinipa 4.. majina tofauti ila ya kike.. kuna vitu nilikuwa nataka kujihakikishia maana pia nilikuwa naamini ni member wa mda mrefu ana nichotaa .. maana kwanA alikuja PM mwenyewe . story mingii ila fresh buku mbili ilikuwa chambooo.. angekuwa kei kweli angeliwa kwa hiyi hiyo buku mbili 😅😅😅Eeeeh SI ungempigia ukasikia sauti?
Mtu jamaa anaomba vocha ya 2000 embu fikiria msalaba WA kumbeba duh....
Ngoja nisome comenta kwanza naona Kuna kivumbi humu....Hadi wewe ukashindwa medani za kivita kabla hujatuma hahahah
Lazima mpigwe tu nyie si amuwezi kutulia na mmoja 😁😁ila wadada wa JF wengi majizi🤣🤣🤣🤣
leo goja yaisha haya siku ingine litafutuka lingine .. swala la mdaaa tu 😅😅😅
😆😆😆😆😆kikao cha jins mnavyotongozana wenywe kwa wenyweKikao cha wanaume hiki. Sijui unafanya nini humu ndani.
Acha kiherehere kwenye mada isiyokuhusu 🤣
🤣🤣😆😆😆😆😆😆, aseeeeAisee mwanzo hadi mwisho. Kikawaida wanawake tuna “haya” sana. Ukiona ke yuko bold hasa kuzungumzia mapenzi kwa kuporomosha nyuzi na nyuzi shtuka.
Kingine nimejifunza Yawezekana ukawa zako huko hata JF huijui huna hili wala lile picha zako zikawa zinatumika kutapeli watu.
Hili nakazia picha zinazotumika Sio za watu halisiAisee mwanzo hadi mwisho. Kikawaida wanawake tuna “haya” sana. Ukiona ke yuko bold hasa kuzungumzia mapenzi kwa kuporomosha nyuzi na nyuzi shtuka.
Kingine nimejifunza Yawezekana ukawa zako huko hata JF huijui huna hili wala lile picha zako zikawa zinatumika kutapeli watu.
Upwiru hadi ukakubali kukaa sawa..hahaha! Lakini asee upwiru noma sana, unaweza kufanya vitu vya hovyo hadi basi!huyu dogo alinipata aisee 😅😅😅
upwiru mmbayaaa.. mbinu zangu zote za kijeshi niliweka kandooo...
nimeanza unga doti kwanza aliacha kupokea simu ghalfa . alinipa namba nne 🤣🤣🤣... nampigia hapokei uzuri situmii namba local kwenye harakati za pimbi
Hamna mkuu, ni demu wake au mtu wake wa karibu na ninajua atapita humu, no worries mtu ni yule yule ilaUmu mtatuma picha za wake za watu
Kabisa yaani Kuna ndoa zitakufa soon bila sababu tu Kwa hii haliUmu mtatuma picha za wake za watu
Kuna moja hiyo ilitumwaaa najua kabisa hii sio yeye ila nikawa najilazimisha kuamini 😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mtavavaa maneenaaah zenuu. Khaaaaah
Sure .....Aisee mwanzo hadi mwisho. Kikawaida wanawake tuna “haya” sana. Ukiona ke yuko bold hasa kuzungumzia mapenzi kwa kuporomosha nyuzi na nyuzi shtuka.
Kingine nimejifunza Yawezekana ukawa zako huko hata JF huijui huna hili wala lile picha zako zikawa zinatumika kutapeli watu.
🤣🤣🤣🤣🤣, sawasawa mkuu tupo kwenye mpambano, 😅😅😅Mkuu tafuta sana hela
Kubwa la maadui😀Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo huyo hajui namna ya kupofoaa watu mitandaonii,
Woiiiiiih akuje nimpe hints
Bahati mbaya nilifuta kila kitu kinacho husiaka nae, nae akala blockNaziomba pm nizikague
Huyu ndo katumika Kwa watu wote....coz coment ni nyingiHamna mkuu, ni demu wake au mtu wake wa karibu na ninajua atapita humu, no worries mtu ni yule yule ila
Mapozi tofauti
No ni yy, kabisa mkuu haina ubishi ni kwamba tu hapa haturuhusiwi kuweka screenshot za pm,Huyu ndo katumika Kwa watu wote....coz coment ni nyingi