Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
Akawa hataki kufatwa?
Ungemrequestia bolt labda anaona aibu kufatwa..hahahahah uwiii
hizo option zote nilimpa, hadi nikamumbia chukua usafiri unikute mahala hataki.. next day akaniambia simba wanacheza nikaona hizi sound hizii ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… tunapitia mengi sana
 
Mambo ya WhatsApp mkuu, yakaharibu kila kitu sasa,

Mi ningefanyaje ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ, tena dp yake ana bonge la hips na tako, ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Ankoli akee kumbe nawe umoooo sio kwa kupenda wowo hukooo๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜!!
 
Weeeee poleee...ulikua pis Kali....nyama nyingi ugali kidogoo
Acha tu dada, acha tu nakwambia dada acha kabisa

Ndo maana nikaanzisha thread kabisa juu ya hilo, ila watu hawakuelewa mi nikaacha tu waendelee kupigwa sa mi nifanyaje ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
hizo option zote nilimpa, hadi nikamumbia chukua usafiri unikute mahala hataki.. next day akaniambia simba wanacheza nikaona hizi sound hizii ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… tunapitia mengi sana
Jua linawaka sana.....sababu kama hizo...
Ulikua ushatengeneza mpambano kichwani....na kujiapiza Leo natafuna Hadi mifupa
 
Mi najua muandiko wako ww, na huwezi kuwa na id nyingine kabisa navyofahamu, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],

Na kama ungekuww nayo watu wangekujua tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiseme hivyoo, mtashangaa mnajikwa kwenye I'd angu ingine huko.
 
Ankoli akee kumbe nawe umoooo sio kwa kupenda wowo hukooo๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜!!
Ile wowowo auntiee ohooo asee mapaja yamejaa kinoma tena meupe peee, mmmh

Kumbe hamna kazi ule uzi hukumbuki niliuanzishaga humu, auntiee hali si nzuri kabisa ๐Ÿ˜๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Itakua Kuna list kubwa sana wameliwa ela
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hali ni tete ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Aisee mwanzo hadi mwisho. Kikawaida wanawake tuna โ€œhayaโ€ sana. Ukiona ke yuko bold hasa kuzungumzia mapenzi kwa kuporomosha nyuzi na nyuzi shtuka.

Kingine nimejifunza Yawezekana ukawa zako huko hata JF huijui huna hili wala lile picha zako zikawa zinatumika kutapeli watu.
Kama huyo dada sidhani kama ni mhusika ila picha zake zipo jf kwa shutuma za utapeli
 
Acha tu dada, acha tu nakwambia dada acha kabisa

Ndo maana nikaanzisha thread kabisa juu ya hilo, ila watu hawakuelewa mi nikaacha tu waendelee kupigwa sa mi nifanyaje ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hahahahahah hiyo I'd ni ipi??
Ila labda ana pitia magumu kaona njia pekee ni kutumia hiyo msaidieni...
Bado mnachat au ukimuona unaita polisi hahahahah
 
Jua linawaka sana.....sababu kama hizo...
Ulikua ushatengeneza mpambano kichwani....na kujiapiza Leo natafuna Hadi mifupa
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… dogo alikuwa na ma ahadi ya hatari yani . alafu nilikuwa speed nilikuwa na mda mchache sana hapa town.. mambo mazito yalikuwa nimtunie nauli tuje tukae mwanza anipe furaha hata wiki hivi..
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hali ni tete ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Dah nimecheka sana Leo....
Wewe in total umepigwa ngap
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiseme hivyoo, mtashangaa mnajikwa kwenye I'd angu ingine huko.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…, embu tuone, hahaha sijui itakuwaje humu ndani asee, ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… dogo alikuwa na ma ahadi ya hatari yani . alafu nilikuwa speed nilikuwa na mda mchache sana hapa town.. mambo mazito yalikuwa nimtunie nauli tuje tukae mwanza anipe furaha hata wiki hivi..
Haya maisha haya mda huo unapanga yote hayo
Mwenzio anachat kavaa boxer...na ndevu hajanyoa mda tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom