Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Baadhi ya wanawake kuvaa nguo zinazoonesha maungio yao kwenye nyumba za ibada tatizo ni nini?

Fata kilichokupeleka

Masanamu yenyewe kutani mule mbona yako uchi

Kariakoo humo yamevalisha nguo
 
Mkuu ni ongezeko la Malaya wasio rasmi ndio sababu jiulize tu hata kwenye gym za mazoezi huwaoni mavazi yao lazima wavae nguo zinazochora maungo yao jiulize Tena mbona zipo track suit nzuri wanaweza wakavaa na mazoezi yakafanyika kifupi ni Malaya kuongezeka
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
haka kahabari kakepambwa na picha weekend ingeanza vzr
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Ukisoma kitabu cha wagalatia kwa msaada wa Roho mtakatifu. Utapata majibu mengi juu ya hili.

Hapa utapata mitazamo mingi ambayo kwa sehemu kubwa inaweza kukuchanganya zaidi.

Unafikiri kwanini Yesu kristo baadhi ya viongozi wa dini walimuona muhuni tu.?
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Mkuu,
Bila picha Uzi unakua haujautendea haki 😊
 
Catholic siku hizi wamebanwa,akienda mwanamke na nguo yake fupi sijui anaonyesha mabega au nguo imem'bana sana getini anakabidhiwa khanga kukuu kuu au mgololi wa kimasai ajisitiri.

Wiki inayofuata haji hivyo na hii imesaidia sana.
Kuna mmoja alitaka kumletea hizi pigo rafiki yangu weee aliimuwashia moto 🤣🤣 mbona alimuacha na nguo yake haikuwa imebana au fupi kihivyo. Saa ingine wanakwaza pia.
 
Kwani wewe umeenda ibadani kumuomba Mungu au umeenda kutizama mavazi ya watu wanavaaje? Kila mtu ataubeba mzigo wake, wewe endekeza tamaa zako huyo mvaa nusu uchi hujui lini Mungu atamtembelea na akaokoka halafu wewe utakuwa umechelewa.

Fuata yako na MUNGU wako, wewe umekamilika?
 
Catholic siku hizi wamebanwa,akienda mwanamke na nguo yake fupi sijui anaonyesha mabega au nguo imem'bana sana getini anakabidhiwa khanga kukuu kuu au mgololi wa kimasai ajisitiri.

Wiki inayofuata haji hivyo na hii imesaidia sana.
Hapo kwenye mavazi sawa, ila mambo ya gizani kama kawaida
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Mkuu
Hii thread bila picha ni kutukosea sana
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Acha tamaa na umbea
 
Kwani wewe umeenda ibadani kumuomba Mungu au umeenda kutizama mavazi ya watu wanavaaje? Kila mtu ataubeba mzigo wake, wewe endekeza tamaa zako huyo mvaa nusu uchi hujui lini Mungu atamtembelea na akaokoka halafu wewe utakuwa umechelewa.

Fuata yako na MUNGU wako, wewe umekamilika?
Nyie mnaotetea hili kwa wanawake kwenda nusu uchi ujue hawa dada zao au wake zao wanatabia hiyo, sisi watz tunatabia moja, ya kufosi ushabiki, hata jambo liko kinyume ya sheria, kisa wengine kuogopa aibu, walichonacho, ukristo waulaya, hii tabia hawana, yakwenda nusu uchi.
 
Hapo umeongea ukweli kabisa, kuna Mchungaji mmoja akiwambia watu wake kuwa hataki injili ya za jazba, mwache atabadilika mwenyewe Kwa kadri anavyopata mafundisho ya neno, mwingine anakuja na mizgo yake kichwani ukimlazimisha unampoteza, chakushangaza asili waafrika tulikuwa hatuvai nguo zakuficha mwili ila kwasasa utazani wao ndiyo wazungu sasa, jiulize eti mtu kaacha mabega wazi anarudishwa nje asiingie ibada duu
 
Leo katika nipo kanisani kuenda kumuomba Mwenyezi Mungu ila nimekutana na hali ambayo imenifanya niwaze Sana bila kupata majibu.

Ni hivi Moja ya mmama ambaye ni wale wanaovaa badge Kama wahudumu wa kanisa, endapo mtu kalipuka Pepo basi wao wanatoa msaada wa kumchukua na kumpeleka mbele ili kuombewa ( kwa watu wenye Imani Kama yangu najua mmenipata hapa).

Huyu mama (kimwonekano ni mtu mzima), kavaa gauni zuri TU la kujistiri ila tatizo linaonyesha ndani MPAKA unaona chupi wazi wazi, Sasa nimeshindwa kuelewa hajui au ameamua kufanya maksudi?

Alafu pia alikuwa anapeleka hai wenye mapepo MPAKA mbele ambapo mtumishi yupo anahubiri Sasa nashindwa kuelewa, mtumishi wakiume kweli kwa Hali hiyo haiwezi mtamani? Maana ni mashaalah kiujumla

Binafsi nikiri Ibada ya Leo nilishindwa kabisa ku concentrate kutokana majaribio haya, nikaamua kusepa kabla hata ya Ibada kuisha maana niliona najichora TU.

Tukio lingine, Kuna mtumishi wa Mungu mkubwa alikuja wiki iliyopita kwenye huu mkoa niliopo anatokea dsm, Sasa na Mimi nikasema Acha niende nikamuombe Mungu wangu.

Sasa katika ile Hali ya kugombania usafiri (daladala) Kuna huyo msichana alikuwa kavaa nusu uchi (kimini kwenye mapaja kabisa), yaani mfano akiinama kila kitu nje nje, na yeye alikuwa anaelekea huko huko.

Ilikuwa aibu Sana kwa sababu mpk wafanyabiashara wa pale stendi walimzomea na kujiuliza ni maombi gani msichana Kama huyu anaenda na mavazi hayo?

Kiukweli niliwaza Sana tukio Hilo, ikabidi niende TU maana tayari nilishapoteza muda na gharama.

Ila Sasa Toka tukio Hilo nikijumlisha na hili nashindwa kuelewa ndio Dunia imekwisha au shida Iko wapi wakuu?

Nawasilisha.
Adam na Hawa walikuwa uchi wala hawakuona haya, kuona haya ni matokeo ya dhambi
 
Back
Top Bottom