Usiwe mkatiliSitisha mahusiano ishi kabla hujaoa vile ulivyoishi!
Hawa vichaa ukikaa nao hata miaka mitano wanahisi bila wao usingeishi kumbe mmeonana ukubwani!!
Mnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?Kama hujamtoa bikra uyo demu wa watu bado.pole sana vumilia uku nje pamoto sana
Ndio maanaMnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
Bikra lazima utamuoa VP msichana kashatembea na watu wengineMnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
Ujajibu swali mama yako alifunga ndoa na bikra?Ndio maana
Bikra lazima utamuoa VP msichana kashatembea na watu wengine
Wewe unachokita unakujua? Hujawahi cheat ? Embu fikirisha akili yako!Wanawake hawajuagi huwa wanataka nini asee.
Akikupa jibu ni niite mara mojaUjajibu swali mama yako alifunga ndoa na bikra?
Vipi kuhusu wewe kufungua zipu yako ovyo? Ukileta magonjwa hapa ngoma droo unafungua zipu uko kwingine na mimi navua uku tena na rafiki yakoInaumiza ndio maana mimi huwa navumilia upumbavu mwingine ila sio cheating.
mwanamke wako akilubali kumvulia mwanaume mwingine chpi ni hatari sana hata sumu anaweza kukuwekea