Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Uwaminifu ndo nini???
Oa mwanamke walau hako na degree moja ya 1.5 GPA
Oa mwanamke walau hako na degree moja ya 1.5 GPA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Darasa la 3c huyo.Uwaminifu ndo nini???
Oa mwanamke walau hako na degree moja ya 1.5 GPA
Ili muwaendeshe chefuDarasa la 3c huyo.
Usimfanye chochote kwa sababu unaweza kuishia jela, mwambie tu meseji yako nimeiona, wala usibishane naye sana. ''inaonekana walishakulana''
Kiufupi, tafuta mchepuko nje mpe ujauzito maisha yasogee
Kwahiyo akamuulize baba au mama???Ujajibu swali mama yako alifunga ndoa na bikra?
Hao wameshakulana tu bila hata kuhoji.Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
Bila shaka huna, maana si kwa makasiliko haya.😁Mnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
Cheating ya mwanaume ni Cheating lakini Cheating ya mwanamke ni Teaching!!Wewe unachokita unakujua? Hujawahi cheat ? Embu fikirisha akili yako!
Si unaona huyu anateseka na mwanamke mmoja; ingekuwa ni mimi, ningeenda kwa michepuko yangu niliozaa nao ili kupunguza hasiraYani unamshauri apate timu ya mpira ya watoto wa nje kama wewe?
Basi acheni kuweka bikra kigezo kwa maan iyoKwahiyo akamuulize baba au mama???
Anyway, ikiwa babako alifi!@#%&((÷×++%&*>>_/rwa na wewe huko tayari??
Kila mtu aishi maisha yake!!!
Aiseeeee Una Ndugu na Watoto (kama unao) wanaokutegemea na kukupenda kwa dhati. Nakusihi Sana puuzia kufanya Jambo Lolote lile Baya.Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
Maana ninayo sipo singleBila shaka huna, maana si kwa makasiliko haya.😁
Acha atombewe afu saa hii badala akague qqqqquuuma anakagua simu mmmmmmmmae zakeDarasa la 3c huyo.
Mambo mengine ni kuachana nayo tuKwangu ni jambo kubwa hili chief.