Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Cheating ya mwanaume ni Cheating lakini Cheating ya mwanamke ni Teaching!!

By using your uselessness watermelon disturbing your loyal neck, can you see the difference between???
Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?
 
Wanawake Mkuu waone hivi hivi na hasa ukiwa unajufanya unampenda mara nyingi lazima kuchapiwa kutske place.
Nimeamin una simu yake maana muda hii ndo hywa upekyz unafanyika mkusha randikana bao moja analegea anakoromea pemben huko unavuta sim yake kuangalia wanaokusaidia kumlegeza
 
Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?
Unajua kwa nn aluanza kulala mzungu wa 4
 
Yaani sijui kwa nini sasa hivi umalaya umekuwa fashen mpya kwenye ndoa.

Na usishangae huyo mke wako kabla ya kuolewa na ww alizunguka kwa kila aina ya waganga akitafuta ndoa.

Kiufupi maamuzi yako kwenye mikono yako mkuu ,lakini kama ningekuwa mimi ningetulia mpaka asubuhi kukakucha ,alafu namuonesha hiyo meseji alafu namuambia kuwa nikirudi jioni nisikukute ndani kwangu.

Ila mkuu usifanye maamuzi yeyote yatakayo kuathiri ww bali unatakiwa kufanya maamuzi yakatayo ufanya huyo mkeo ajutie alicho kifanya.
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu

Kwa hili Andiko Leo I conclude kwamba usipooa Bikira lazima uchapiww, Kaka una watoto wangapi na ndoa ya miaka mingapi! Huna haja wala ya kumpiga au kumuuliza kwa sasa, badilika kabisa yeye aanza kuuliza then ndo umwambie!
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu
Piga chini
 
Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?
Kama ujumbe huu umeandika kwa akili zako, basi wewe kichwa chako kitakuwa kimeshikiliwa na Mwanamke kwa kujiamini ushababi ndio silaha ya mwanamke kutokuchepuka.
Wewe ni 000 kabisa.
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu
Mkifanya nyie sawa, akifanya mwanamke ni Mbaya.
 
Back
Top Bottom