Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Sio watu, WANAWAKE MALAYA tunawapiga chini puuu.Huwa mnavyosema 'Piga chini' hivi watu huwa wanapigwa chini kirahisi tu kumbe?
Kama unabisha ni quote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio watu, WANAWAKE MALAYA tunawapiga chini puuu.Huwa mnavyosema 'Piga chini' hivi watu huwa wanapigwa chini kirahisi tu kumbe?
Huo ndio uanaume, ikishindikana basi mrudishe kwao but at this stage waza future ya Watoto wako.Noted
Nisome tena, kila mtu anaishi life lake!! Tusipangiane vigezo...Basi acheni kuweka bikra kigezo kwa maan iyo
Ume note kwenye hilo Boga??Noted
Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?Cheating ya mwanaume ni Cheating lakini Cheating ya mwanamke ni Teaching!!
By using your uselessness watermelon disturbing your loyal neck, can you see the difference between???
Unajua kwa nn aluanza kulala mzungu wa 4Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?
Huna akili sasa una muuliza hilo swali kwani yeye alisha lala na mama yake?Mnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
Piga chiniHivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
Kama unakuta ana Bikira hana marinda! Kazi kweli kweli!Kama hujamtoa bikra uyo demu wa watu bado.pole sana vumilia uku nje pamoto sana
Hao walioolewa na bikra zao, tunawala kwenye ndoa zao hadi tunawakataa. Wanataka tena na tena.Ndio maana
Bikra lazima utamuoa VP msichana kashatembea na watu wengine
Ww ndo hujaielewa hiyo mesege."nimekukazia" maana yake ni alikuwa mgumu kwa huyo ex hakumpa papu..
Kama ukitokea kuwa bomu mbeleni let's tuyaone.. 😂
Lete zingine tukufafanulie..
Ukome kuchungulia kutafuta matatizo.. Mkeo anaonekana alijitambua
Kama ujumbe huu umeandika kwa akili zako, basi wewe kichwa chako kitakuwa kimeshikiliwa na Mwanamke kwa kujiamini ushababi ndio silaha ya mwanamke kutokuchepuka.Ukiona mwanamke mwenye akili timamu katoka nje ya ndoa ujue huko ndani ni Gaza ndogo, kuna mmojà mwanaume mwaka wa 4 analala mzungu wa 4, mke kaongea kachoka kaamua akae kimya atafute yakutafuta huko, sasa siku ndoa ikivunjika lawama zote atapewa mke, sasa mwanaume atambue mke anacheat hapo atamlaumu kweli?
Mkifanya nyie sawa, akifanya mwanamke ni Mbaya.Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.
Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.
Naomba mnipe busara zenu ebu
Ndio kasoro mama yako ndio kafunga ndoa bila bikra.Mnavyo angaikia bikra iyo mama zenu wali funga ndoa na bikra zao?