Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Kwa wale mnaotaka kujua hii conversation ilikuaje;

Me: "...hahaaa ivi unajua ww una vituko sana?"
Ke: "vituko gan ss bby"
Me: "we kwann ulinikazia sana kule mwanzoni?"
(Hapa weka hiyo msg kwenye uzi)
Me: "ahaa sawaa.. ujue nilianza kuhisi labda unataka kunichinjia baharini!"
Ke: "amnaa.. ilikua ni lazima niweke mazingira vizuri kwanza jamaa asije akashtuka"
Me: "hapo sawa, nimekuelewa. Kwahiyo lini tena tunaonana? "
Ke: "ngoja tuone weekend hii"
Me: "ok"
Ke: "jamaa amerudi, usitume tena msg. Bye"
Me:
Inawezekana hata ameshaanza kumla au hapo ndio siku hiyo ametoka kumla...kwa hiyo kwenye kusherehesha maongezi ndio ikawa hivyo
 
Tunawekeza hisia,maono,mali,akili , dedication kwenu tukiamini mtakua backup in time tukiwahitaji coz maisha ni milima na mabonde!

Sasa mkishaona njia imenyooka,ukinzani haupo mmejipata!tukiwa kwenye crisis yaani pale tunapowahitaji walau mfanye lile agizo la mungu kwenu la msaidizi!

Sasa hapo ndio Adhabu mnatupa ya UBINAFSI Wenu dhahiri shahiri!unafikiri Nini tufanye!!?
Muwe wapole
 
Kwa nilivyoelewa hio sms ni kwamba mke alimtolea nje EX wake kipindi ndoa yenu ikiwa changa, ila kwa sasa sijajua kama ndio ameanza kumpa mbunye au la. Mwendelezo wa chat ndio utaonesha kwamba kashaliwa au bado. Ungetuma zote ili tukupe tafsiri halisi.
Hapana anachomaanisha huyo mwanamke alikuwa anamzuga boya ili again trust baada ya hapo kitombo kiendelee kama kawa, kiufupi ndugu yetu kaoa malay*.
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu
Cha ajabu nini hapo? Kamahujakuta bikra ujue umeoa mke wa watu. Ukitaka mwache na wewe uwe X wake umgongee àtakàyemuoa.
Ukikuta hamna bikra ni mke wa watu kuleni wote.
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu
Mkuu njoo huku nikushauri kabla ya kuishangaza dunia ILI USIISHANGAZE ASHANGAE HUYOO ASIYE ELEWA MAANA HALISI YA NDOA
 
Umechukua demu wa watu, Kwa tafsiri ya kina kuhusu hiyo sms ni kwamba Sasa Yuko free anytime anaweza kutobolewa na yyte, maana ndoa ishakomaa tayari. Hivyo ex wake Sasa anaweza kujipakulia au tayari ashajipakulia minyama mikubwa mikubwa, Sasa hivi mnaishi kama kaka na dada. Huo ndo Ukweli ninaokuambia ndugu yangu. Wanaume wa kweli hatunaga unafiki.

NB. Haya mambo Ili uchukue maamuzi na uwe na sababu kutoka rohoni, basi at least na wewe uwe msafi kidogo ila kama na ww na mchafu to be honest itakuwa ni uonevu tu.
 
Umechukua demu wa watu, Kwa tafsiri ya kina kuhusu hiyo sms ni kwamba Sasa Yuko free anytime anaweza kutobolewa na yyte, maana ndoa ishakomaa tayari. Hivyo ex wake Sasa anaweza kujipakulia au tayari ashajipakulia minyama mikubwa mikubwa na hivyo basi ulioa mtu mpumbavu wa kiwango cha juu, Sasa hivi mnaishi kama kaka na dada. Huo ndo Ukweli ninaokuambia ndugu yangu. Wanaume wa kweli hatunaga unafiki.

NB. Haya mambo Ili uchukue maamuzi na uwe na sababu kutoka rohoni, basi at least na wewe uwe msafi kidogo ila kama na ww ni mchafu to be honest itakuwa ni uonevu tu.
 
Hivi hawa wanawake zetu huwa hata wanatuonea huruma kweli jinsi tunavyowahangaikia wao waishi vizuri?
Huwa sina kawaida ya kushika simu yake ila sijui nini usiku huu kimenituma niishike na kuikagua.
Na hiki ndicho nilichokikuta.

Sijamsemesha chochote mpaka sasa niko macho tu natafakari.alikua anachat na ex wake hapo,kuna mengi nimeyaona kwenye chatting zao lkn hili limenishangaza.

Naomba mnipe busara zenu ebu
Kama hukumkuta bikra, unahisi akifanya sasa hivi, kipi kitabadilika?
 
Soda sio binadamu kwani wewe nawe si unakuwa nguvu zako zimeisha kwa wanawake wengine?
Mwanamke asiyekuwa bikra ukimuoa ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa.....ukiinywa uombe Mungu tu aliyetangulia kunywa asiache sumu
 
Usimfanye chochote kwa sababu unaweza kuishia jela, mwambie tu meseji yako nimeiona, wala usibishane naye sana. ''inaonekana walishakulana''

Kiufupi, tafuta mchepuko nje mpe ujauzito maisha yasogee.​
Akaharibu tena mtoto wa watu na kumfanya mzinzi kwasababu ya mkewe?
 
Back
Top Bottom